Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 119952

ALIYEKUWA MHASIBU TAKUKURU AKIRI KOSA, KULIPA FAINI YA SHILINGI MILIONI 100

$
0
0
Mfanyabiashara Yasin Katare, wa mbele mwenye tisheti nyekundu, anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, pamoja na aliyekuwa Mhasibu wa Takukuru, Godfrey Gugai wa nyuma mwenye tisheti ya mistari ya punda milia na wenzao wakitoka katika kizimba cha mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya Yasin kukiri kosa na kuhukumiwa kulipa faini ya shilingi Milioni 100. Washtakiwa wengine wamekana makosa hayo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 119952

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>