Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 119988

Mkurugenzi Mkuu wa NIDA akutana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mabenki kuzungumzia matumizi ya vitambulisho vya Taifa katika kufungulia akaunti

$
0
0
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mabenki Tanzania ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kulia) akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dkt. Anold Kihaule (wa pili kushoto) alipomtembelea ofisini kwake na kujadili jinsi ya kuweza kuunganisha nguvu za upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa kwa urahisi ili vitumike kwenye utambulisho wa kufungulia akaunti za Benki. Kwa mujibu wa Bwana Nsekela, vitambulisho vya Taifa ni nguzo muhimu sana katika zoezi la ufunguaji akaunti kwa wateja kwani vinabeba taarifa zote za utambuzi zinazohitajika na mabenki. Wengine ni Mkurugenzi Mtendaji wa TBA, Tuse Joune (kushoto) na Mkurugenzi wa Tehama wa NIDA, Gideon Ndalu.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 119988

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>