Mchezo kati ya Maji Maji na Ruvu shooting katika uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma umemalizika na Maji Maji kuibuka mbabe wa bao 3 – 1 Mabao yote matatu ya Maji Maji yamefungwa na Marcel Boniventure na baada ya mpira kumalizika amekabidhiwa Mpira baada ya kufunga magoli yote matatu.
Trending Articles
More Pages to Explore .....