Dk.Tulia azindua Tulia Marathon jijini Dar es Salaam
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiTaasisi ya Tulia Trust imezindua Tulia Marathon itakayofanyika Mei 6 katika uwanja Sokoine jijini Mbeya.Akizungumza na waandishi habari wakati wa uzinduzi wa Tulia...
View ArticleMUHIMBILI KUPANDIKIZA FIGO WAGONJWA 200 KWA MWAKA
Dar es salaam, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeweka mipango ya muda mrefu na muda mfupi ili kuhakikisha huduma ya upandikizaji figo inakuwa endelevu, na imedhamiria kupandikiza figo kwa wagonjwa...
View ArticleWoolworths yafungua duka Mlimani City, yajipanga kufunga lingine Dodoma
Kampuni ya nguo la Woolworths imefungua duka mpya la nguo lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam, likiwa ni duka la tano la kampuni hiyo kwa hapa nchini.Akizungumza katika hafla ya ufunguzi huo,...
View ArticleTANAPA YAKABIDHI HUNDI YA SHILINGI MILIONI 50 KUSAIDIA SEKTA YA ELIMU MKOANI...
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini .Shirika la Hifadhi za Taifa leo limekabidhi mchango wa Shilingi Milioni 50 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa shule tatu za vipaji maalumu katika...
View ArticleKONGAMANO LA TANZANIA YA VIWANDA LAFANA MKOANI IRINGA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage wakiimba wimbo wa Umoja na...
View ArticleUMISSETA YAZINDULIWA MTWARA
JOSEPH MPANGALA -Mtwara. Mashindano ya Copa CocaCola Umisseta 2018 yamezinduliwa rasmi katka mkoa wa Mtwara. Akizindua mashindano hayo kaimu mkuu wa mkoa wa Mtwara, ambaye ni mkuu wa wilaya, Evod...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AHANI MSIBA WA KANDORO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha kumbukumbu ya maombelezo ya Marehemu Abbas Kandoro aliyefariki jana kwenye Hospitali ya Taifa ya...
View ArticleRMO,DMO TENGENI SIKU ZA UCHUNGUZI WA SARATANI-WAZIRI UMMY
WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amewataka waganga wakuu wote wa mikoa na wilaya nchi nzima kutenga siku moja kwa mwezi kwa ajili ya uchunguzi wa saratani ya shingo...
View ArticleRUVUSHOOTING APAPASWA NA MAJI MAJI 3 – 1, MARCEL AONDOKA NA MPIRA
Mchezo kati ya Maji Maji na Ruvu shooting katika uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma umemalizika na Maji Maji kuibuka mbabe wa bao 3 – 1 Mabao yote matatu ya Maji Maji yamefungwa na Marcel...
View ArticleChuo cha Kodi Chapongezwa Kuwajengea Uwezo Wanafunzi Wake
Naibu Kamishna wa Kodi za Ndani kutka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Michael Muhoja akizungumza alipokuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya tatu ya Siku ya Ujuzi na Taaluma ya Chuo cha Kodi...
View ArticleAfDB YAAHIDI KULING'ARISHA JIJI LA DODOMA NA KUONGEZA MABILIONI YA DOLA...
Na Benny Mwaipaja, WFM, Dodoma Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika-AfDB, Dkt. Akinumwi Adesina, amemaliza ziara yake ya siku tatu nchini na kuahidi kuwa atahakikisha Tanzania inaendelea kunufaika na...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AZINDUA SIKU YA MWANAMKE WA MFANO TANZANIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Wanawake walikuwa na mchango mkubwa katika harakati za Uhuru wan chi hii. Makamu wa Rais ameyasema hayo wakati wa...
View ArticleKIGOMA WAOMBWA KUICHANGIA TIMU YA WANAWAKE YA MKOA HUO ILI IFANYE VEMA
Na Ripota Wetu, KigomaWADAU mbalimbali wa maendeleo na soka wameombwa kuiunga mkono timu ya Wanawake wa Mkoa ya Kigoma Sisters ili waweze kuendelea kufanya vema kwenye michuano mbalimbali...
View ArticleMEYA JIJI LA DAR KUSHUHUDIA MTANANGE WA SIMBA, YANGA LEO
MEYA wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita atakuwa miongoni mwa watazamaji wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara utakaowakutanisha Simba na Yanga.Mchezo huo wa aina yake utachezwa leo saa 10...
View ArticleIDADI YA WAATHIRIKA MAFURIKO YA MVUA KATA YA MWARU YAFIKIA ZAIDI YA WAKAZI 700
Na Jumbe Ismailly, IKUNGI IDADI ya wakazi wa vijiji vya Kaugeri na Mduguyu,kata ya Mwaru,wilaya ya Ikungi waliokosa makazi kutokana na nyumba zao kuanguka kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha...
View ArticleKUMEKUCHA MISS TABORA 2018
Kumekucha: Fomu za kushiriki mashindano ya Miss Tabora zitaanza kutolewa tarehe 02/05/2018 hadi tarehe 20/05/2018 katika ofisi zote za utamaduni za Wilaya na Halmashauri za Mkoa wa Tabora. Auditions...
View ArticleSERIKALI KUENDELEA KUKOMESHA AJIRA HATARISHI ZA WATOTO
Serikali imedhamiria kuendelea kukomesha ajira hatarishi za watoto ili kuhakikisha kuwa watoto wanalindwa na kuwapa nafasi stahiki kulingana na sheria na kanuni zilizopo nchini. Hayo yameelezwa na...
View ArticleWAJASIRIA MALI Z'BAR WAPEWA MBINU MPYA.
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR.WANAWAKE visiwani Zanzibar wameshauriwa kutumia vizuri fursa ya ujasiriamali kwa lengo la kujiongezea kipato na kujiajiri wenyewe.Ushauri huo umetolewa na Mkurugenzi wa...
View ArticleWANAFUNZI WAELEMISHWA KUHUSU CHANJO YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI
Muuguzi wa kituo cha Afya Madaba wilayani Songea Ponsiana Haule akimpatia chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Madaba Day wilayani Songea...
View Article
More Pages to Explore .....