Mchezo wa kirafiki wa kimataifa wa kalenda ya FIFA baina ya Taifa Stars na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umeanza katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Kipindi cha pili kimeanza matokeo bado 0-0.
Mashabiki wa Taifa Stars wakionesha Uzalendo ndani ya Uwanja wa Taifa.
Simon Msuva akipambana na Glody Ngoda katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa unaoendelea Jijini Dar es Salaam.
Kikosi cha Taifa Stars
Kikosi cha DR Congo.