Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 110202

UBALOZI WA KUWAIT NCHINI TANZANIA WAADHIMISHA SIKUKUU YA KITAIFA NA UKOMBOZI

$
0
0


Ubalozi wa Kuwait nchini Tanzania uliandaa hafla ya kuadhimisha miaka 57 ya Uhuru wa Kuwait, miaka 27 ya Ukombozi na miaka 12 tangu Mfalme wa Kuwait Mheshimiwa Sheikh Sabah Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah apokee uongozi wa nchi hiyo. 
Hafla hiyo ilihudhuriwa na wageni waalikwa mbalimbali wakiongozwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dr. Suzan Kolimba, Waziri mkuu mstaafu Dr.Salim Ahmed Salim, Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zubeir Ali Maulid, Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir bin Ally, Naibu Waziri wa Ndani Mhandisi, Hamad Masauni pamoja na viongozi wa juu wa serikali, mabalozi wa nchi za kigeni na mashirika ya kimataifa na wataalamu wa fani mbalimbali na vyombo vya habari

Viewing all articles
Browse latest Browse all 110202

Latest Images

Trending Articles





Latest Images