Wananchi zaidi ya 1200 wajitokeza Songamebele zinduzi wa Ujenzi kituo cha...
Zaidi ya wananchi 1200 wa kata ya Kirando inayojumuisha vijiji vinne vya Mtakuja, Mpata, Kichangani na Kamwanda, Wilayani nkasi Mkoani Rukwa, wajitokeza katika kuhakikisha uchimbaji na uwekaji wa...
View ArticleSIMBA YAANZA KUJIFUA UWANJA WA VETERANI
Na Agness Francis Globu ya jamii. VINARA wa Ligi kuu Tanzania Bara Simba SC mara baada ya kurejea kutoka nchini Djibout katika mchezo wa marudiano na Gendarmarie sasa wanaanza mazoezi rasmi leo ili...
View ArticleUWEPO WA VIWANDA UTACHANGIA UZALISHAJI WA BIDHAA ZA KILIMO-MHANDISI STELLA...
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiNAIBU Waziri wa Viwanda, Uwekezaji na Biashara Mhandisi Stella Manyanya amesema uwepo wa viwanda nchini utachangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji wa bidhaa za kilimo kwa...
View ArticleKAIMU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MBUNGE KUTOKA...
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushiriano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan M. Mwinyi akiwa katika mazungumzo na Mhe. Zehra Taskesenlioglu, Mbunge na Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge wa...
View ArticleRAIS MAGUFULI AHUDHURIA MKUTANO WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA AFRIKA MASHARIKI...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC Rais wa Uganda Yoweri Museveni pamoja na viongozi wengine wa Jumuiya hiyo...
View ArticleArticle 8
NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akilakiwa na Osmund Ueland Mshauri wa Shamba sehemu ya shamba lenye hekari 651 lililonunuliwa na Taasisi ya Ilula Programu 2013 wakati wa ziara yake mkoani...
View ArticleMAFUNZO YA MADAKTARI WA KANDA YA KASKAZINI YALIYORATIBIWA NA WCF YAMALIZIKA
.Baadhi ya Madaktari na watoa huduma za afya wakionyesha stika, watakazobandika kwenye milango ya ofisi zao ili kumrahisishia mfanyakazi anayehitaji kufanyiwa huduma ya tathmini. Stika hizo zimetolewa...
View ArticleKAIMU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU...
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan M. Mwinyi akizungumza na Mkurugenzi Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kusini na Mashariki mwa Afrika...
View ArticleRC TELACK AHAMASISHA WANANCHI KUTOA TAARIFA SAHIHI UTAFITI WA MAPATO NA...
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mheshimiwa Zainab Telack akielezea umuhimu wa wananchi kushiriki kikamilifu katika Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi unaoendelea mkoani Shinyanga. Kushoto niMeneja...
View ArticleMADINI YOTE NCHINI NI SHARTI YA WANUFAISHE WATANZANIA - BITEKO
Na Mathias Canal, RukwaSerikali imesema kuwa sheria mpya ya Madini ya mwaka 2010 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2017 inaelekeza wazi kuwa Madini yote nchini ni Mali ya watanzania hivyo wanapaswa...
View ArticleSERIKALI YAANZISHA MFUKO WA MAJI ILI KUWA SULUHISHO LA UPATIKANAJI WA MAJI...
MBUNGE wa jimbo la Hanang,Mkoani Manyara,Mary Michael Nagu amesema kuanzishwa kwa mfuko wa maji unaotokana na fedha zinazopatikana kwenye mauzo ya mafuta ya vyombo vya moto utakuwa sukuhisho la...
View ArticleUBALOZI WA KUWAIT NCHINI TANZANIA WAADHIMISHA SIKUKUU YA KITAIFA NA UKOMBOZI
Ubalozi wa Kuwait nchini Tanzania uliandaa hafla ya kuadhimisha miaka 57 ya Uhuru wa Kuwait, miaka 27 ya Ukombozi na miaka 12 tangu Mfalme wa Kuwait Mheshimiwa Sheikh Sabah Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah...
View ArticleSIMON GROUP YACHANGIA MILIONI 25 UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU SIMIYU
Na Stella Kalinga, Simiyu Kampuni ya Simon Group imechangia kiasi cha Shilingi Milioni 25 kwa ajili ya Ujenzi wa Miundombinu ya Elimu katika mkoa wa Simiyu Akikabidhi hundi hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi...
View ArticleUBUNIFU WA KIJANA OMARY WAMVUTIA DK.KAMALA, AAHIDI KUSAIDIA VIJANA KILIMO CHA...
Na Ripota Wetu, MisenyiMBUNGE wa Jimbo la Nkenge mkoani Kagera Balozi ,Dk. Kamala amempongeza kijana Rosh Omary ambaye ameamua kujikita kwenye kilimo cha mbogamboga na matunda kando ya mto...
View Article
More Pages to Explore .....