Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 110192

YALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA NOVEMBA 16, 2017

$
0
0
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akiongoza mkutano wa tisa wa kikao cha nane wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akijibu maswali ya wabunge wakati wa maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu  leo mjini Dodoma unapofanyika mkutano wa tisa wa kikao cha nane.
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akijibu maswali mbalimbali ya wabunge wakati wa mkutano wa tisa wa  kikao cha nane  cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.
 Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Dk.Hamisi Kigwangalla akimsikiliza Mbunge wa Karagwe(CCM) Mhe.Innocent Bashungwa wakati wa mkutano wa tisa wa kikao cha nane  cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.
Picha zote na Daudi Manongi - MAELEZO,DODOMA.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Viewing all articles
Browse latest Browse all 110192

Latest Images

Trending Articles





Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>