SERIKALI KUENDELEA KUTOA ELIMU UFANYAJI KILIMO BORA CHA MBOGAMBOGA
Na Beatrice Lyimo, MAELEZO, DODOMASerikali itaendelea kutoa elimu kwa wananchi ili kuweza kufanya shughuli za kilimo cha umwagiliaji wa mbogamboga katika maeneo sahihi.Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UINGEREZA, BALOZI WA OMAN...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Mhe. Sarah Cooke ambaye alifika ofisini kwa Makamu wa Rais kwa mazungumzo,Ikulu...
View ArticleYALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA NOVEMBA 16, 2017
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akiongoza mkutano wa tisa wa kikao cha nane wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mjini Dodoma.Waziri Mkuu Mhe. Kassim...
View ArticleMALIASILI KAMILISHENI ZOEZI LA UWEKEJI ALAMA MAENEO YA HIFADHI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kukamilisha zoezi la uwekaji wa alama za mipaka katika maeneo yote ya hifadhi ifikapo Desemba 30, 2017.Agizo hilo limekuja baada ya...
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA LEO BUNGE MJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Riziki Lulida kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Novemba 16, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI NA MAWASILIANO AWASAA WAMILIKI WA VYOMBO VYA...
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiNaibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditie amewataka wamiliki na wadau wa vyombo vya usafirishaji wa abiria hapa nchini kuacha azma yao ya...
View ArticleWATENDAJI TOENI USHIRIKIANO WA KUWEZESHA KUKAMILIKA KWA MRADI WA UENDELEZAJI...
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiWaziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Suleiman Jaffo amewataka watendaji wa Manispaa ya Temeke kutoa ushirikiano ili kuwezesha...
View ArticleVanessa Mdee Releases Bounce!
With Money Mondays in the pipeline – there’s no stopping VeeMoney. With 3 Pan-African features released within the past fortnight (IMARA – Frederic Gassita (Gabon), Vitamin U – Roberto (Zambia) and...
View ArticleMhariri Mtendaji wa TSN Afurahishwa na Jarida la Nchi Yetu
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akimkabidhi nakala ya Jarida la Nchi Yetu Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) Dkt. Jim Yonaz...
View ArticleBALOZI WA CHINA AAHIDI KUCHIMBA KISIMA DODOMA
Na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma Makao MakuuBalozi wa China hapa nchini Mhe.Wang Ke ameahidi Serikali yake itatoa msaada wa kugharamia mradi wa uchimbaji kisima kimoja cha maji na miundombinu ya...
View ArticleWananchi Watakiwa Kutumia Mvua Kwa Shughuli za Uzalishaji
Na Beatrice Lyimo- MAELEZO, DODOMASerikali imewataka Viongozi na wananchi wote kutumia vizuri mvua zinazoendelea kunyesha nchini kwa ajili ya shughuli za uzalishaji mali.Hayo yamesemwa na Naibu Waziri...
View ArticleKAMATI YA BUNGE YA MAADILI YAMHOJI MHE. KUBENEA MJINI DODOMA
Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, imemhoji Mbunge wa Ubungo Mheshimiwa Saed Kubenea kwa kosa la kutoa kauli ya kudharau Bunge.Akizungumza mara baada ya kumhoji Mbunge huyo, Mwenyekiti wa...
View ArticleWakulima 206 Wapata Mafunzo Ya kilimo Cha Chai kutoka NOSC
KUTOKANA na ushirikishwaji wa wakulima wadogo katika zao la chai kupitia Kampuni ya Kuhudumia Wakulima Wadogo Njombe (NOSC), viongozi wa Mkoa wa Njombe wanajivunia mafanikio yaliyopatikana katika...
View ArticleGAVANA WA BENKI KUU ANATARAJIA KUWA MGENI RASMI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA...
Na: Veronica Kazimoto,Dar es SalaamGavana wa Benki Kuu ya Tanzania anatarajia kuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yatakayofanyika tarehe 20 Novemba, 2017 katika Kituo cha...
View ArticleWABUNGE VINARA WA JINSIA WAPATIWA SEMINA NA WAWEZESHAJI KUTOKA TGNP MTANDAO
Vinara wa jinsia katika mpango wa maendeleo kwa mwaka 2018/2019 na Muongozo wa Bajeti kwa Mwaka 2018/2019 ambao ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakifuatilia semina iliyokuwa...
View Article
More Pages to Explore .....