Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 110193

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Hospitali ya Saifee ya nchini India wanatarajia kuwafanyia upasuaji wagonjwa 18 wenye matatizo ya Moyo

$
0
0
Madakatati Bingwa wa Upasuaji wa Moyo na Mishipa ya damu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Saifee ya nchini India wakimfanyia mgonjwa upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu kwenye moyo (CABG – Coronary Artery Bypass Grafting) wakati wa kambi maalum ya upasuaji ya siku sita inayoendelea katika Taasisi hiyo. Hadi sasa jumla ya wagonjwa sita wameshafanyiwa upasuaji wa CABG na kubadilishiwa milango ya moyo (Valve) ambapo hali zao zinaendelea vizuri.
Madakatati Bingwa wa Upasuaji wa Moyo na Mishipa ya damu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Saifee ya nchini India wakimfanyia mgonjwa upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu kwenye moyo (CABG – Coronary Artery Bypass Grafting) wakati wa kambi maalum ya siku sita ya upasuaji wa moyo inayoendelea katika Taasisi hiyo.
Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Moyo na Mishipa ya damu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Saifee ya nchini India wakiendelea na kazi ya kumfanyia mgonjwa upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu kwenye moyo (CABG – Coronary Artery Bypass Grafting) . Jumla ya wagonjwa 18 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa moyo katika kambi maalum ya upasuaji wa moyo ya siku inayoendelea katika Taasisi hiyo. Picha na JKCI.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 110193

Latest Images

Trending Articles





Latest Images