Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 109570 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

aliyekutwa akimiliki mali na kuishi maisha yasiyolingana na kipato chake...

Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa, kesi dhidi ya Afisa Msaidizi wa Forodha wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Jennifer Mushi anayekabiliwa na mashtaka...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Hospitali ya Saifee...

Madakatati Bingwa wa Upasuaji wa Moyo na Mishipa ya damu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Saifee ya nchini India wakimfanyia mgonjwa upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vigogo wanne Tanesco kizimbani kwa ubadhirifu wa fedha zaidi ya bilioni 2.7

Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii.Maofisa wanne wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco )na watu wengine wawili, leo Novemba 7, 2017 wamepandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAAGIZA MIKOA KUANDAA MAPOKEZI KWA WANAFUNZI WATAKAOJIUNGA KIDATO...

Na Fred KibanoWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Selemani S. Jafo (Mb), ameiagiza Mikoa yote nchini kuanza mapema maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKIWASIKILIZA MAWAZIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Bw. Selemani Jaffo wakati wa Kikao cha kwanza Mkutano wa tisa wa Bunge kilichoanza leo Novemba 7, 2017 mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA WADAU WA MASUALA YA AJIRA NA UKUZAJI UJUZI

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akisisistiza jambo kwa wajumbe wa Kikao cha wadau wa masuala ya Ajira na Ukuzaji Ujuzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM FC WAACHANA NA MSHAMBULIAJI WAO WA KIMATAIFA YAHYA MOHAMED

Uongozi wa klabu ya Azam FC imeamua kuvunja mkataba na mshambulizi wake, Yahaya Mohammed raia wa Ghana baada ya kuona ameshindwa kuwapatia kile ambacho wanakihitaji kwa muda wote aliokuwa ametumikia...

View Article

WADAU WAKUTANA KUJADILI CHANGAMOTO ZA BIASHARA

View Article


"HAKUNA UPUNGUFU MKUBWA WA DAWA NCHINI"-MHE.UMMY MWALIMU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMBWE, KAMOSOKU NA NGOMA MATARAJIO NI KUANZA MAZOEZI MEPESI WIKI HII- DR BAVU

Kikosi cha Yanga kimeendelea na mazoezi yake leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Tz Prison Novemba 19.Mazoezi hayo yanayoendelea kwenye Uwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijiji Vyote Visivyo na Umeme Kupata Umeme Ifikapo 2020/21

Na: Lilian Lundo – MAELEZO – Dodoma.Serikali imesema itahakikisha vijiji vyote visivyo na umeme vinapata umeme kupitia mradi wa kupeleka umeme vijijini awamu ya Tatu (REA-III) unaotegemewa kukamilika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YALIPA MADAI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA TTCL SH. BILIONI 12.7

Benny Mwaipaja, DodomaSERIKALI imewalipa pensheni wafanyakazi 245 wa iliyokuwa Kampuni ya Simu ya TTCL, chini ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kiasi cha shilingi bilioni 12.7.Hayo yamesemwa Bungeni Mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAALAM WA MAENDELEO YA JAMII WAJADILI MBINU ZA KUIMARISHA ARI YA JAMII...

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii Bw. Patrick Golwike akitoa mada kwa wataalam wa Maendeleo ya Jamii kuhusu kuamsha ari ya wananchi kushiriki shughuli za maendeleo yao katika Mkutano Kazi wa mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA KYAKA-BUGENE WILAYANI KARAGWE

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizindua rasmi barabara ya Kyaka-Bugene yenye urefu wa Km 59.1 eneo la Kayanga wilayani Karagwe mkoa wa Kagera leo Novemba 7, 2017....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAVUNDE AWAPA NEEMA WAJASIRIAMALI DODOMA MJINI

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Vijana Anthony Mavunde ambaye pia ni Mbunge wa Dodoma mjini leo amefungua semina ya wajasiriamali wapatao 2000 wa Jimbo hilo. Semina hiyo imefanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIAZI LISHE KUTOLEWA KWA WANAFUNZI SIKONGE MKOANI TABORA

Na Dotto Mwaibale, Sikonge TaboraWANAFUNZI wilayani Sikonge mkoani Tabora wataanza kunufaika na viazi lishe baada ya kupokea mbegu bora ya viazi hivyo, mihogo na mahindi ya Wema kutoka Tume ya Taifa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIC yafanikiwa kupata uwekezaji kutoka kwa makampuni makubwa duniani ya...

Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) kimefanikiwa kupata uwekezaji kutoka kwa makampuni makubwa duniani ya Ferrostaal ya Ujerumani na Haldor Topsoe ya Demnmark, ambao unatarajiwa kuondoa kwa kiasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Imetoa Hekta 271,882.86 kwa Ajili ya Shughuli za Vijana.

 Na: Lilian Lundo – MAELEZO – Dodoma.Serikali kupitia Halmashauri za Wilaya katika mwaka 2016 imetoa jumla ya Hekta 271,882.86 za ardhi kwa  vijana nchi nzima ili kufanya shughuli za uzalishaji mali na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZOEZI LA USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA LASHIKA KASI MKOANI SINGIDA

Usajili Vitambulisho vya Taifa mkoani Singida umezidi kushika kasi wananchi wakifika kwa wingi kupata huduma ya Usajili unaohusisha uchukuaji wa alama za Kibiolojia, picha na Saini ya Kielektroniki.Kwa...

View Article

KIPINDI CHA BBC DIRA YA DUNIA

View Article
Browsing all 109570 articles
Browse latest View live




Latest Images