Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117996

MKUTANO MKUU WA TANO WA WADAU WA MFUKO WA GEPF WAFANA MJINI ARUSHA



Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka akifungua Mkutano Mkuu wa tano wa wadau wa mfuko huo ulifanyika jijini Arusha.Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi Mkuu wa GEPF, Daudi Msangi akifafanua jambo.Image may be NSFW.
Clik here to view.

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka akizungumza wakati wa Mkutano Mkuu wa tano wa Mwaka wa wadau wa Mfuko wa akiba ya Wafanyakazi Serikalini (GEPF), jijini Arusha.Image may be NSFW.
Clik here to view.

 Mkurugenzi Masoko na Uendeshaji wa GEPF, Anselim Peter akitoa mada.Image may be NSFW.
Clik here to view.

 Mkurugenzi Mkuu wa PPF, Wiliam Erio akifuatilia mada wakati wa mkutano huo. Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka akimsikili kwa makini Meneja Masoko na Utekeleza wa Mfuko wa Akiba ya Wafanyakazi Serikalini (GEPF), Aloyce Ntukamazina mara baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa tano wa wadau wa mfuko huo ulifanyika jijini Arusha. 

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117996

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>