Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118066

MAADHIMISHO YA SIKU YA SERIKALI ZA MITAA YAFANA IRINGA MANISPAA YA IRINGA

Mbunge Msigwa na  mkuu  wa  wilaya ya  Iringa  wakitazama  ndizi aina ya Jamaica inayolimwa Mtwivila Iringa iliyoletwa katika maonyesho ya  serikali za mitaa mjini Iringa
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Mbunge wa jimbo la Iringa mjini akiwasili jukwaa kuu na kusalimiana na mkuu wa wilaya ya Iringa Dr Leticia Warioba.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Mkuu  wa wilaya ya  Iringa Dr Leticia  Warioba akimtazama  kwa makini  askari wa kikosi cha  zimamoto mjini Iringa akionyesha jinsi  ya kuzima  moto
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Watangazaji  wa kituo  bora  cha matangazo  cha  televisheni ya  Manispaa ya  Iringa (IMTV) wakiwa katika banda lao la maonyesho leo katika  viwanja vya Mwembetogwa mjini Iringa (picha zote na Francisgodwin Blog -mzee wa matukio  daima)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 118066

Trending Articles