Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117361

WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO

$
0
0
--
 Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii nchini Jaji Thomas Mihayo akizungumza katika mkutano mfupi uliofanyika katika Stesheni ya Tazara jijini Dar es Salaam,kuhusu ujio wa Wasanii nyota saba kutoka nchini China na wapiga picha 100,ambao pia walitembelea Treni ya TAZARA na kujionea mambo mbalimbali yaliyokuwa yakinyika hapo.
 Baadhi ya Wasanii hao Nyota wakiwasili katika  Stesheni ya TAZARA Jijini Dar es Salaam
 aziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe Rashid Ali Juma akizungumza  wakati wa kuwakaribisha wasanii hao nyota kutoka nchini China
 Muongoazaji wa filamu ya siri za familia akitoa Salamu za Wasanii hapa nchini
 Wasanii hao Nyota wakiwa wameketi kwa pamoja  wakati wa mkutano
 Wasanii hao  ikawakiwa katika kurekodi sehemu ya vipindi vitakavyorushwa katika cheneli za nchini China


Viewing all articles
Browse latest Browse all 117361

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>