Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Bwana Amour Hamad Amour aliyepiga magoti akiangalia Tanki la maji na uwepo wa maji katika Tanki hilo ambapo alilidhishwa na uwepo wa maji katika kijiji cha Njalamatata wilayani Namtumbo na kuridhishwa na mradi huo uliogharimu kiasi cha shilingi milioni 713.
↧