Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117260

BENKI YA NMB YAFANIKISHA SIKU YA WAUGUZI MKOANI GEITA

$
0
0
Mgeni Rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Jenerali mstaafu Ezikiel Elias Kyunga akiwa kwenye picha ya pamoja na kamati ya ulinzi na usalama pamoja na mwakilishi wa makampuni ambayo yamefadhili shughuli ya siku ya wauguzi ambapo Benki ya NMB iliwakilishwa na Meneja Mahusiano Biashara za Serikali Kanda ya Ziwa, Suma Mwainunu.
Meneja Mahusiano Biashara za Serikali Kanda ya Ziwa wa Benki ya NMB, Suma Mwainunu akitoa shukrani kwa wao kama Benki kushirikishwa kwenye shughuli hiyo ya siku ya wauguzi Duniani huku akihaidi kuwa Benki yao itaendelea kushirikiana na serikali katika juhudi zake mbalimbali.
Sehemu ya Washiriki siku ya wauguzi iliyofanyika Mkoani Geita hivi karibuni.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117260

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>