Habari Ndugu,
Naomba tuungane mkono kwa pamoja baada ya maneno mengi kuongeleka kuwa mimi ni msanii wa kiki. Ila sio kweli kuhusu hili na kuthibitisha nimeamua niachie wimbo mpya unaoenda kwa jina la "NUNDU" kama zawadi kwa watanziania na mashabiki wangu wote kiujumla.
NUNDU ni wimbo wangu wa tatu officially kuachiwa, na nimemshirikisha mkongwe wa muziki nchini CPWAA pamoja na RONEI ambaye ni upcoming hatari kutoka SGS SABUKA MUSIC, Record Label inayomilikiwa na IRENE SABUKA. Tutashukuru kwa support yako ya muziki mzuri. Wako Mtiifu,
Harmorapa.