Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117162

Taasisi ya Mama's & Papa's Kutoa Tuzo Kwa Wanaothamini Jamii

$
0
0
 Mshauri wa Taasisi ya Mama’s & Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR) Balozi Patrick Chokala akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utoaji wa TUZO kwa baadhi ya watu wenyemkachango katika jamii leo Jijini Dar es Salaam. Tuzo hizo zitatolewa tarehe 12 mwezi huu. Watakaopewa tuzo hizo ni Dkt. Reginald Mengi, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale, Mhe. Agustino Lyatonga Mrema, Mustafa Sabodo, na Mohamed Gulam Dewji. Kulia ni Mjumbe wa Taasisi hiyo Omary Kombe.
 Msanii wa muziki wa Bongo Fleva ambaye pia ni Balozi wa Taasisi ya Mama’s & Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR), Nurdin Bilal maarufu kama Shetta (baba Kaira) akielezea jambo mbele ya waandishi wa habari kuhusu yeye kuwa Balozi wa Taasisi hiyo kwa lengo la kuunga mkono jitihada za kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya leo Jijini Dar es Salaam.Taasisi hiyo pia imetoa Tuzo za heshima kwa baadhi ya watu wenye mchango katika jamii. Kutoka kulia ni Mshauri wa Taasisi hiyo Balozi Patrick Chokala na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Bibi. Emmi Ally Ghahae. 
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano wao na wawakilishi wa Taasisi ya Mama’s & Papa’s For Community Reform Rehabilitation Center (MPFCR) leo jijini Dar es Salaam. Taasisi hiyo inatarajia kutoa Tuzo za heshima kwa baadhi ya wadau wanajali na kuthamini jamii.Watakaopewa tuzo hizo ni Dkt. Reginald Mengi, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatale, Mhe. Agustino Lyatonga Mrema, Mustafa Sabodo, na Mohamed Gulam Dewji.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117162

Trending Articles