wadau WaTanzania waliopo Ukraine katika sherehe za miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyoandaliwa na Wanazuoni wakiTanzania waishio Kharkov, Ukraine. Wadao hao hivi sasa wapo katika kusaka nondozzz za taaluma mbalimbali ikiwamo Udaktari, Uhandisi, IT/Software Eng., Urubani, Uchumi, nk.
Image may be NSFW. Clik here to view. ![]() |
Keki ya mnuso |
Wadau mnusoni
Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya, Bw. Juma Haji Nakhunte
Mnusoni
Wadau na keki