Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118117

News Alert: Watu wawili wapoteza maisha jijini arusha jioni hii

TAARIFA ILIYOIFIKIA GLOBU YA JAMII JIONI HII TOKA JIJINI ARUSHA,INAELEZA KUWA KUMETOKEA MLIPUKO KATIKA VIWANJA VYA SOWETO JIJINI HALI NA INAHOFIWA KUWA WATU WAWILI WAMEPOTEZA MAISHA NA WENGINE KADHAA KUJERUHIWA VIBAYA.
RIPOTA WETU JIJINI HUMO ANASEMA KUWA HALI HIYO ILITOKEA WAKATI WA MKUTANO WA HADHARA ULIOKUWA UKIFANYWA NA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) UKIONGOZWA NA MWENYEKITI WAKE, MH. FREEMAN MBOWE.

HALI BADO HAIJAKAA SAWA MPAKA SASA NA KUNA GARI LA KUBEBA WAGONJWA LA HOSPITALI YA MOUNT MERU LIMEPASULIWA VIOO NA WAFUASI WA CHAMA HICHO WAKIDAI KUWA LILICHELEWA KUFIKA ENEO LA TUKIO 
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Madaktari wakihudumia majeruhi katika hospitali ya Mount Metu
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Sehemu waliyokuwepo baadhi ya majeruhi katika tukio hilo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 118117

Trending Articles