Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 116964

MICHUZI TV:RC MBEYA AFUNGUA KONGAMANO LA ELIMU MKOANI HUMO

$
0
0
 - Wadau wa Elimu wapongeza na wamejitokeza kwa Wingi 

- Kongamano labainisha changamoto za elimu na mikakati ya kukabiliana Na changamoto zatajwa
- Lengo la KONGAMANO  ni kuongeza ufaulu na elimu bora katika Elimu YA msingi na sekondari
- Serikali ya Mkoa wakusudia kuanzisha mfuko wa Elimu kwa lengo la kusaidia Vifaa vya Maabara, ununuzi wa vitabu, motisha kwa walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri na kuingiza Umeme mashuleni
- Mkuu wa mkoa aelekeza  wazazi na walezi kuchangia Chakula mashuleni na kushirikiana na serikali ktk ujenzi wa hostel
- Aagiza madai ya walimu yashughulikiwe kuanzia ngazi ya halmashauri kwa Yale ambayo yapo ndani ya uwezo wa halmashauri
- Mkoa umejipangia malengo ya  kuwa Miongoni mwa mikoa KUMI bora kitaifa
 - Maazimio ya kongamano yatakuwa ndiyo dira ya Elimu kimkoa na yataelekezwa katika ngazi zote.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 116964

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>