Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Rashid Ali Juma akizungumza na waandishi juu ya Maendeleo ya Michezo ya Zanzibar kwa ujumla leo Jijini Dar es Salaam.Kulia ni Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Harrison Mwakyembe.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari juu ya hatua mbalimbali SErikali inazofanya katika kuimarisha Michezo nchini.Kulia kwake ni Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Rashid Ali Juma na Kushoto kwake ni Mkurugenzi Idara ya Habari Maelezo Dkt.Hassan Abbas
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Harrison Mwakyembeakifurahia jambo na Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Rashid Ali Juma wkati walipokutana Jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo mafupi juu ya hali ya Michezo nchini.Picha zote na Daudi Manongi-MAELEZO.