Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 116996

Balozi Seif Ali Iddi atoa pole wananchi wa Kazole Kwagube walioathirika na upepo mkali jumapili

$
0
0
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwapa pole Wananchi wa Kijiji cha Kwagube Kazole walioathiriwa Nyumba zao kutokana na upepo mkali uliovuma Jumapili iliyopita.
 Balozi Seif  akikabidhi fedha kwa mmoja wa Wananchi walioathirika na Upepo Mkali katika Kijiji cha Kwagube uliotokea Jumapili iliyopita.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar alimkagua Mkuu wa Mkoa wa zamani Bwana Pemba Juma Khamis alipofika nyumbani kwake Bububu Kijichi kuangalia hali yake kiafya baada ya kupata matibabu nchini India.
Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa Mjini Magharibi Bibi Johari Akida akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif alipofanya ziara ya kumkagua hali yake  Nyumbani Kwake Mwanakwerekwe. Picha na OMPR – ZNZ. 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 116996

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>