Ni simanzi kubwa, baba yetu mdogo, Profesa Lloyd Manamba Binagi, amefariki dunia hii leo Jijini Dar es salaam.
Taratibu za kuusafirisha mwili kwenda nyumbani Tarime zinafanyika. Pumzika kwa amani baba. Ulikuwa nguzo muhimu kwetu. Daima tutakukumbuka.
Mola ailaze roho yako mahali pema peponi - Amina.
George Binagi.