Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117024

SERENGETI BOYS NA GHANA ZATOSHANA NGUVU LEO TAIFA, ZAFUNGANA 2-2.

$
0
0

Beki wa Timu ya Taifa ya Vijana ya Ghana (U17) , Yusif Abdulrazak akiondosha mpira mbele ya Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Vijana - Serengeti Boys, Yohana Mkomola, katika Mchezo wa kimataifa wa kirafiki, uliopichezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Timu hizo zimetoka sare ya kufungana goli 2-2.
Mshabuliani wa Timu ya Taifa ya Vijana - Serengeti Boys, Kelvin Naftal akitafuta mbinu za kumtoka Beki wa timu ya Beki wa Timu ya Taifa ya Vijana ya Ghana, Antah Isaac, katika Mchezo wa kimataifa wa kirafiki, uliopichezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Timu hizo zimetoka sare ya kufungana goli 2-2.
Mshambuliaji wa Serengeti Boys, Muhsin Malima akiipatia timu yake bao la pili, dhidi ya wageni wao Ghana, katika Mchezo wa kimataifa wa kirafiki, uliopichezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Timu hizo zimetoka sare ya kufungana goli 2-2.
Wachezaji wa Serengeti Boys wakishangilia baada ya kupata goli la pili na kufanya matokeo kuwa 2-2 dhidi ya Ghana, katika Mchezo wa kimataifa wa kirafiki, uliopichezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 117024

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>