Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117024

WABUNGE WA TANZANIA WASHIRIKI MKUTANO WA 134 WA UMOJA WA MABUNGE DUNIANIA MJINI DAKAR,NCHINI BANGLADESH

$
0
0
 Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara,  Mhe. James Ole Millya na mbunge wa viti maalum Zanzibar  Mhe. Tauhida wakiwa kwenye mkutano wa 134 wa umoja wa mabunge duniani mjini Dhaka nchini Bangladesh, ambapo Tanzania iliwakilishwa na wabunge tisa na makatibu wawili

Mbunge wa Jimbo la Bariadi Mkoani Simiyu Mhe. Andrew Chenge akiwaongoza wabunge tisa na makatibu wawili wa Bunge la Tanzania kwenye mkutano wa 134 wa umoja wa mabunge duniani mjini Dhaka nchini Bangladesh (wa pili kulia mstari wa nyuma) ni mbunge wa jimbo la Simanjiro, mkoani Manyara, James Ole Millya.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117024

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>