Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117028

TIB corporate bank yachangia shilingi milioni 15.3 kwa mkoa wa katavi

$
0
0
 TIB corporate bank katika  kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi leo imechangia Shilingi milioni 15.3 kwa mkoa wa Katavi kusaidia mkoa huu mpya kukabiliana na changamoto mbali mbali ikiwamo miundo mbinu. Pichani wakikabidhi hundi hio kwa Mkuu wa mkoa Katavi Maj Gen Raphael Muhuga ni Mkurugenzi Mkuu wa TIB corporate bank Bw Frank Nyabundege na mkuu wa kitengo cha masoko na mahusiano Bi.Theresia Soka
Pichani ni  Mkuu wa mkoa Katavi Maj Gen Raphael Muhuga (kulia) Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe. .Jenista Muhagama (wa pili kushoto), Waziri wa Kazi Na Uwezeshaji Wazee Zanzibar  Mhe. Maudline Castico  (wa tatu kulia) pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa TIB corporate bank Bw Frank Nyabundege (kushoto)  na Mkuu wa kitengo cha masoko na mahusiano Bi.Theresia Soka (wa pili kulia)



Picha ya pamoja baada ya hafla hiyo fupi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117028

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>