Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117164

MSEMAJI WA JESHI LA POLISI NCHINI UGANDA AUWAWA KWA KUPIGWA RISASI

$
0
0
Msemaji na Kaimu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Uganda, Andrew Felix Kaweesi pamoja na walinzi wake wawili wameuwawa kwa kupigwa risasi asubuhi ya leo na watu wasiojulikana mita chache kutokea nyumbani kwake, Kulambiro jijini Kampala. Kikosi cha Usalama cha nchi hiyo kimethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Pichani ni Gari alitokuwa akiitumia  Msemaji na Kaimu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Uganda, Andrew Felix Kawees.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117164

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>