Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117468

MAMLAKA YA BIMA TANZANIA YAITAKA NIC KUWA KINARA WA BIMA NCHINI

$
0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Sam Kamanga kushoto akizungumza na ujumbe wa Mamlaka ya Bima nchini ukiongozwa na Kamishina wa Mamlaka hayo Dk. Baghayo Saqware (kulia), alipotembea Makao Makuu ya NIC jana Jijini Dar es Salaam 
Kamishina wa Mamlaka Bima nchini Dk. Baghayo Saqware,akisisitiza jambo wakati alipotembelea Makao Makuu ya NIC jana. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Sam Kamanga kushoto akisisitiza jambo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) mara baada ya ziara hiyo ya ujumbe wa Mamlaka ya Bima Nchini. 
Picha ya pamoja: Mkurugenzi Mtendaji wa NIC Sam Kamanga (wa tatu kushoto) na Kamishina wa Mamkala ya Bima Nchini Dk. Baghayo Sakware (wa Wa nne kushoto) wengine pichani ni maofisa wa taasisi hizo. 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 117468

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>