Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 116956

Just In: Ajali mbaya yatokea Posta Mpya jijini Dar jioni hiii,Mwanajeshi mmoja apasuka kichwa baada ya kujigonga mtini

$
0
0
 Baadhi ya askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wakimshusha mwenzao baada ya kujigonga kwenye mti na kujeruhiwa vibaya sana kwa kupasuka kichwa wakati akiwa kwenye Lori lenye namba za usajili 5514 JW 07 aina ya IVECO kandokando ya barabara ya Samora jirani na Idara ya Habari (Maelezo) jijini Dar es Salaam jioni hii. (Picha na Habari Mseto Blog)
 Baadhi ya wasamalia wema wakimpeleka hospitali majeruhi huyo.
 Majeruhi akiingizwa katika Bajaji tayari kwa ajili ya kupelekwa hospitali.
 Lori aina ya IVECO ambalo majeruhi huyo alikuwa amepanda.
 Hii ndio Barabara ya Samora ilipotokea ajali hiyo. 
Hapa ndipo alipojigonga majeruhi na kupasuka kichwa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 116956

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>