Katika pitapita zake kamera ya Globu ya Jamii ilifika mahali hapa katikati ya jiji la Dar es salaam na kukuta mambo mswano. Yaani barabara imetengenezwa na kugeuza kabisa sura ya sehemu hii kwa kusakafiwa concrete slabs (sijui kimatumbi inaitwaje - msaada tutani plizzz) badala ya lami kama ilivyozoeleka. Je, mdau ni mtaa gani huu??
↧