Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118023

TASWIRA MBALI MBALI ZA MH. KANDEGE ALIPOPANDA MLIMA KILIMANJARO

Mbunge wa Jimbo la Kalambo,Mh. Josephat Kandege akiwa katika kilele cha Gilmans alipopanda Mlima Kilimanjaro mwishoni mwa mwaka jana,Mh Kandege ndiye mbunge pekee aliyefanikiwa kufika katika kilele hicho kati ya wabunge saba waliopanda mlima Kilimanjaro.
Mbunge wa Jimbo la Kalambo,Mh. Josephat Kandege akiwa na wapandaji wengine ambao kwa pamoja walifanikiwa kufika katika kituo hicho cha Gilmans mmoja wapo akiwa ni Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.
Mbunge wa Jimbo la Kalambo,Mh. Josephat Kandege akiwa katika kilele cha Gilmans alipopanda Mlima Kilimanjaro mwishoni mwa mwaka jana,Mh Kandege ndiye mbunge pekee aliyefanikiwa kufika katika kilele hicho kati ya wabunge saba waliopanda mlima Kilimanjaro.
Safari ya Mlimani ikiendelea.
Ukiwa juu ya mlima Kilimanjaro hivi ndivyo maeneo mbalimbali ya mlima yanavyoonekana. Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 118023

Trending Articles