Mdau Shaban Leo wa Halmashauri ya wilaya ya Lindi akifurahia baada ya kufunga pingu za maisha na mai waifu wake Pendo Kuboga wa manispaa ya Lindi pia. Ndoa ilifungwa katika kanisa la Waadventista wasabato Mtaa wa Lindi na Tafrija ya kuwapongeza ilifanyika katika Ukumbi wa Kanisa la Mt Andrea Kaggwa.Picha na Abdulaziz Video.
Maharusi na Wapambe wao wakiwa kwenye nyuso za furaha.
Maharusi wakipewa Baraka ya Ndoa toka kwa Mchungaji.