Askari wa usalama barabarani koplo Atilio Choga akiwa anatoa maelezo mafupi ya barabara zilizopo mkoani Arusha na jinsi magari yanavyoingia na kutoka katika siku ya uzinduzi wa wiki ya usalama barabarani ilianza Jana katika viwanja vya sheikh Amri Abeid ,mbele ni mkuu wa wawilaya ya Arusha Fabian Daqarro ambapo alikuwa mgeni rasmi
Askari polisi wa kikosi cha usalama barabarani akimuonyesha mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa wilaya ya Arusha jinsi kifaa chakupimia ulevi kwa madereva kinavyo fanya kazi.
kamanda wa kikosi cha usalama barabarani Nuru Selemani akiwa anasoma risala
Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Fabian Daqaro katikati akiwa anaandika baadhi ya changamoto alizotajiwa. Kwa taarifa kamili na picha zaidi BOFYA HAPA |