Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118022

TAMWA WAWASILISHA MAONI TUME YA MABADILIKO YA KATIBA

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) Bi. Valerie Msoka akikabidhi maoni ya chama hicho kuhusu Katiba Mpya kwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Prof. Mwesiga Baregu katika ofisi za Tume hiyo jijini Dar es Salaam leo. Wengine toka kulia  ni Wajumbe wa Tume, Dkt. Salim Ahmed Salim, Bw. Simai Mohammed na Bi. Jessica Mkuchu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 118022

Trending Articles