Baadhi ya wajane na yatima wanaonufaika na msaada wa kunusuru kaya masikini unaoratibiwa na TASAF, wameiomba serikali kuongeza walengwa wanaoweza kunufaika na mpango huo; https://youtu.be/84qCbA5-R6s
Wakazi wa kijiji cha Kilongo wilayani Muheza mkoani Tanga, wamewataka wananchi wenzao kufanya kazi kwa juhudi kama inavyofanya serikali ya awamu ya tano;https://youtu.be/mlNx929UWos
Mwenyekiti wa chama cha wakulima Said Sudi, amesema wakati umefika wa kuacha kuruhusu wagombea wenye umri wa miaka 70 kugombea urais visiwani Zanzibar;https://youtu.be/OWFTQlcJs5c
Kutana na mlemavu wa miguu anayetumia baiskeli ya matairi mawili kujitafutia riziki yake ya kila siku ili aweze kuhudumia familia yake; https://youtu.be/OOuiz3Lff5g
Mamlaka ya mapato nchini TRA imeanzisha mfumo wa kuhakiki namba za walipa kodi wake ili kuepusha uwezekano wa mtu kukwepa kodi; https://youtu.be/VOFf9fz8Fmk
Taasisi ya sekta binasfi imeiomba serikali kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji ili kurahisisha zoezi serikali kuhamia mkoani Dodoma; https://youtu.be/UKYzI7HDbpU
Benki ya mkombozi imezindua mpango wa kutoa mikopo ya bima za afya kwa wajasiliamali ili kuwawezesha kuwa na uhakika wa afya zao;https://youtu.be/jG26byXZh9M
Zaidi ya wanawake 3000 wilayani Kasulu, wameungana na kuunda kikundi ili kujiandaa na milioni 50 alizoahidi mheshimiwa Rais Magufuli kipindi cha kampeni;https://youtu.be/XC93vNiREU8
Mchezo wa ngao ya jamii unaoashiria kufunguliwa kwa pazia la ligi kuu Tanzania bara, utapigwa hapo kesho ukiwakutanisha Yanga na Azam huku baadhi ya pesa zikitumiwa kununulia madawati; https://youtu.be/T890RGt8CkU
Rais wa zamani wa shirikisho la mpira duniani FIFA Joao Havalange mwenyeji wa Brazil, amefariki dunia hii leo nyumbani kwao Brazil akiwa na umri wa miaka 100;https://youtu.be/gDHc7zYo0p4
Kocha wa Chelsea Antonio Conte ametetea kitendo cha mwamuzi aliyechezesha mchezo wao wa jana dhidi West Ham kutomuonesha kadi nyekundu Diego Costa huku akisema Costa hakumkanyaga mlinzi wa West ham; https://youtu.be/kkphSCmVtUM
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA