Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 119928

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein ajumuika na waumini katika swala ya Sunna ya Eid el Fitri leo Unguja

$
0
0
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akijumuikana Viongozi mbali mbali na Waislamu wengine katika swala ya Sunna ya Eid el Fitri ambayo huswaliwa baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan, iliyoswaliwa leo katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja
 Waumini wa Dini ya kiislamu wakiwa katika swala ya Sunna ya Eid el Fitri iliyoswaliwa leo katika viwanja vya Maisara Suleiman Mjini Unguja baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan
 Waumini wa Dini ya kiislamu wakisikiliza mawaidha baada ya swala ya Sunna ya Eid el Fitri iliyoswaliwa leo katika viwanja vya Maisara Suleiman Mjini Unguja baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na Mashekhe waliofika Ikulu Mjini Unguja kupeana mkono wa Sikukuu na kutakiana kheri ikiwa ni kusherehekea Sikukuu ya Eid el Fitri baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi bahasha Mzee Suleiman Khamis wa Darajabovu (kulia) alipokuwa akitoa sikukuu kwa wananchi mbali mbali waliofika katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja katika  kusherehekea Sikukuu ya Eid el Fitri baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Kwa Picha zaidi na Ikulu BOFYA HAPA

Viewing all articles
Browse latest Browse all 119928

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>