Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117989

WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AHANI MSIBA WA TANDAU

Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akiweka saini kwenye kitabu cha maombolezo ya kifo cha Waziri wa zamani wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marehemu Alfred Tandau, nyubani kwa marehemu,Magomeni jijini Dar es salaam, Mei 2,2013.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumzana na mtoto wa kwanza wa Waziri wa Kwanza wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Julius Tandau wakati alipokwenda kuhani msiba wa Waziri huyo wa zamani aliyefariki dunia hivi karibuni, nyumbani kwa marehemu, Magomeni jijini Dar es salaam Mei 2, 2013. (Picha na Ofis ya Waziri Mkuu)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117989

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>