Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118437

sehemu ya mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es salaam - UDART

$
0
0

Moja ya barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kwa haraka (BRT).
Moja ya vituo vitakavyotumiwa na mabasi yaendayo kwa haraka pindi mradi utakapo kamilika kwa ajili ya kubeba abiria.




Kituo cha mabasi yaendayokasi cha Kangwani jijini Dar es Salaam ikiwa ni moja ya vituo vitakavyotumika na mabasi hayo tarehe 10 Januari, 2016.

Mabasi yaendayo kasi yakiwa tayari kwa kuanza safari za kubeba abiria ifikapo tarehe 10 Januari, 2016. 
Picha zote na Abraham Nyantori - MAELEZO




Viewing all articles
Browse latest Browse all 118437

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>