SIMU.TV: Waziri awafungia geti wafanyakazi wa wizara. 12 wafariki ajali ya basi la New Force. CHADEMA yazungumzia kasi ya rais Magufuli;https://youtu.be/oZYeH59y4SI
SIMU.TV: Watumishi waliotumia vyeti feki serikalini kukiona cha moto. TMA yasema Elninyo kuendelea mpaka Aprili mwakani; https://youtu.be/wmJb-ZHmd4A
SIMU.TV: Kocha Kerr aficha mbinu. CCM Kirumba kuchimbika leo. Majabvi ashtukiwa, akatwa mshahara Simba, https://youtu.be/wqcG-CPluiU
SIMU.TV: Pata habari za kina zilizopewa kipaumbele katika magazeti ya leo Jumamosi Desemba 19.2015; https://youtu.be/yPokI-5bXwo