Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117044

DKT. SHEIN AKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI ZANZIBAR LEO

$
0
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo,katika utekelezaji wa kazi za Wizara hiyo katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo,katika utekelezaji wa kazi za Wizara hiyo katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar,( kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad.Picha na RamadhanOthman,Ikulu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117044

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>