Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118561

MAKALA YA SHERIA: KESI YA BASIL MRAMBA NA DANIEL YONA MWANZO MWISHO.

$
0
0
Na Bashir Yakubu
Wiki  chache zilizopita, yaani Tarehe  6  JULY,  2015  mahakama  ya  Hakimu Mkazi ya Kisutu  ya jijini Dar es salaam ilitoa  hukumu  katika kesi  maarufu  na  ya  muda  mrefu   iliyokuwa  ikiwakabili  mawaziri  wa  zamani  wawili  na  katibu  mkuu  mmoja. 


Blog  hii  iliripoti  kwa  ufupi   matokeo  ya  kesi  hiyo    na  kuahidi  kutoa  ufafanuzi  wa  kitaalam  hapo  baadae  kupitia  wanasheria  wake. 

 Kwa kuwa  GLOBU YA JAMII imekuwa  mstari  wa  mbele  kueleza  masuala  ya  msingi   ya  kijamii yakiwemo  yale  ya  kisheria  ambayo  hayapatikani mitandao  mingine  ya  kijamii,  imeona  ni  muhimu kuufafanulia  umma nini kilitokea  katika kesi  hii  ya kihistoria mwanzo  hadi mwisho.  Kuendelea kusoma BOFYA HAPA.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 118561

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>