Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117978

Taifa Stars yaihadhilisha Morocco leo Uwanja wa Taifa,Yaitungua Bao 3-1

 Ubao wa Matokeo unavyosomeka mara baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) dhidi ya Timu ya Taifa ya Morocco uliochezwa jioni hii kwenye uwanja wa Taifa wa Jijini Dar es Salaam. Image may be NSFW.
Clik here to view.
 Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars),Thomas Ulimwengu akiwatoka Golikipa na Beki wa Timu ya Taifa ya Morocco wakati wa Mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu kucheza Kombe ya Dunia Mwaka 2014 kule nchini Brazil,uliochezwa jioni hii kwenye uwanja wa Taifa wa Jijini Dar es Salaam.Taifa Stars imeshinda Bao 3 - 1,mabao yaliyotiwa kimiani na Mshambuliaji Machachari,Mbwana Samatha.

PICHA ZAIDI ZITAKUJIA MUDA MFUPI UJAO.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117978

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>