Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all 110182 articles
Browse latest View live

Tanzania na Norway kuimarisha ushirikiano katika sekta ya biashara na uwekezaji

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard  Membe akihutubia katika ufunguzi rasmi wa Semina ya Ushirikiano wa Kibiashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Norway iliyofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency ya Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Waziri wa Biashara na Viwanda wa Norway, Mhe. Monica Maeland, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, Balozi wa Norway nchini, Mhe. Hanna-Marie Kaarstad na wadau wengine katika sekta ya biashara na uwekezaji kutoka Norway na hapa nchini.
Waziri wa Biashara na Viwanda wa Norway, Mhe. Maeland (kulia) akimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina hiyo. Kushoto ni  Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula na katikati ni  Balozi wa Norway hapa nchini, Mhe. Kaarstad. 
Waziri Membe akiendelea kuzungumza
Waziri wa Biasha na Viwanda nchini Norway Mhe. Monica Maeland naye alipata fursa ya kuzungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya Ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Norway, Mhe. Maeland yupo nchini kwa lengo la kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wa Tanzania nchini Norway. Pia wakati wa ziara hiyo Mhe. Maeland amezindua mtambo wa mbolea wa Yara ulioko kwenye Bandari ya Dar es Salaam na pia atatembelea Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Arusha.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga (kulia) na mmoja wa wadau katika semina hiyo Bw. John Ulanga (kushoto) wakifuatilia Hotuba mbalimbali zilizokuwa zikiendelea kutolewa na Mhe. Membe na Mhe. Maeland. Kwa habari na picha zaidi BOFYA HAPA

Timu ya soka ya wasichana ya Temeke yatinga Nusu fainali michuano ya Airtel Rising Stars

$
0
0
 Mchezaji wa timu ya soka ya wasichana ya Ilala Rukia Annaph (kushoto) akichuana vikali na mchezaji wa timu ya Temeke Christina Daudi katika mchezo wa nusu fainali ya Airtel Rising Stars kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam. Temeke ilishinda 2-1

 Mchezaji wa timu ya soka ya wasichana ya  Ilala Tumaini Michael (Kulia) akimtoka mchezaji wa timu ya Temeke Shamimu Hamis katika mchezo wa nusu fainali ya Airtel Rising Stars kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam. Temeke iliibukana na ushindi wa magoli 2-1
 Mchezaji wa timu ya soka ya wasichana ya  ya Ilala Jackline Albert (Kushoto) akimtoka mchezaji wa timu ya Temeke Shamimu Hamis katika mchezo wa nusu fainali ya Airtel Rising Stars kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam. Temeke ilishinda 2-1.



NCCR MAGEUZI YATOA TAMKO JUU YA KUTORIDHISHWA NA MWENENDO WA UKAWA

HAPPY BIRTHDAY KAMANDA RAS MAKUNJA WA FFU UGHAIBUNI

$
0
0
Leo 19 September ndio siku ya kuzaliwa mkuu wa bendi ya Ngoma Africa aka FFU-Ughaibuni  ya kule ujerumani, mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja aka mkuu wa viumbe wa ajabu "Anunnaki Alien" alizaliwa mjini Dar-es-Salaam.

Akiwa mtoto wa kwanza wa kiume wa Bw.Jumanne Saleh Makunja Ngayonga (RIP) na Bi.Moza Hassan Seifu Mpili (Mama Makunja), Mwanamuziki Kamanda Ras Makunja ni mtunzi na mwimbaji  mahili wa muziki wa dansi leo ndio Happy Birthday  yake.

Unaweza kuburudika na kusherekea naye katika kambi yao FFU-Ughaibuni 

AFDB Support for Safe City Water and Sewage Treatment in Tanzania Just-in-time investment as Arusha city sewerage needs become critical

$
0
0
The African Development Bank Group (AfDB) has today announced a loan of US $211-million to help address the urgent need for improved water and sanitation in the city of Arusha in Tanzania. The sum represents 90% of the cost of the Tanzanian Government program to alleviate the threat of major environmental and health issues and improve the quality of life for Arusha inhabitants.

Arusha city in Tanzania is a major regional hub. Since 2010, the Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority service area has almost expanded to cover 208km, yet the existing sanitation network covers only the Central Business District of the city and serves only 7,6% of inhabitants. Capacity is severely stretched and the existing sewage treatment ponds are critically overloaded.  Water coverage is also an issue, with less than 44% of Arusha inhabitants currently served. Consequently, it is estimated that water-borne diseases in the area account for about 40% of per capita health expenditure.

Accordingly, this strategic AfDB investment is designed to enable transformative improvement of water and sanitation services across Arusha city.

Over the program horizon, the improved facilities will benefit a resident population of more than 600,000 people in Arusha city and 250,000 additional people, who commute to the city, for business purposes. A new sewerage treatment pond system will be a major contribution to service delivery.

In line with the Bank’s Ten Year Strategy to promote inclusive growth, the program includes targeted solutions in areas not covered by the sewerage system, in order to respond to the needs of all groups, including the economically disadvantaged. 100 sanitation blocks for Arusha city schools are budgeted in the sanitation program. 
Improved access to water and sanitation services will complement other social services and will have significant gender dimensions. In Tanzania, women spend considerable time and energy on a daily basis in collecting water and caring for family members suffering from water-related illnesses. Improved water and sanitation in Arusha will lead to a reduction sickness and associated health-care costs, and is expected to give women more time for productive endeavors such as adult education, empowerment activities and leisure. 

Mr. Mohamed El Azizi, Director of the AfDB Water and Sanitation Department, saidThe AfDB is a key member of the water sector dialogue with the Tanzanian Government and a long-term contributor to rural water and sanitation programs, with support from AfDB’s Rural Water Supply and Sanitation Initiative. The AfDB Tanzanian field office will play an important role in the implementation and monitoring of the works”. 


EAST AFRICAN BUSINESS COUNCIL AND INNOVATION NORWAY SIGN MEMORANDUM OF UNDERSTANDING

$
0
0
The Norwegian Minister for Trade and Industry, Ms Monica Maeland, and the Secretary General of the East African Community, Amb. Dr Richard Sezibera, today witnessed the signing of a Memorandum of Understanding (MoU) between the East African Business Council (EABC) and Innovation Norway at the EAC Headquarters in Arusha, Tanzania. 
 The MoU was signed by Innovation Norway’s Chief Executive Officer, Ms. Anita Krohn Traaseth, while EABC Chairman Denis Karera signed on behalf of his organization. Under the MoU, which will be effective for a period of five years, EABC and Innovation Norway agreed to work together on various agreed upon priority areas including trade facilitation; joint activities that are beneficial to both institutions including conferences, trade missions (both international and regional), and; business to business engagement both in EAC and Norway and the Nordic countries. Some of the main areas of cooperation will be in the petroleum and education sectors with the latter focusing on the information and communication technology sector. 
The two parties further agreed to increase market access through information sharing; promote investment in both regions, and; capacity building and technical assistance. EABC and Innovation Norway also undertake to jointly: work together to advocate for beneficial trade and good investment climate in the two regions; work together to develop business to business engagement to enhance business partnerships and networking, and; exchange information on business opportunities in both regions. 
 Earlier on, the Norwegian Minister for Trade and Industry, Ms Monica Maeland, and the EAC Secretary General, Amb. Dr. Richard Sezibera, held bilateral talks on possible areas of cooperation between Norway and the EAC. The talks focused on the upcoming negotiations between the European Free Trade Area (EFTA) and the EAC. The Secretary General informed Ms Maeland that the EAC Council of Ministers was quite positive about the negotiations with EFTA. 
EFTA is an inter-governmental organization which comprises Ireland, Liechtenstein, Norway and Switzerland. Founded in 1960, it promotes free trade and economic integration among its Member States. 
 EFTA Member States have expressed interest in strengthening ties with the EAC Partner States and have proposed a Joint Declaration on Cooperation between the two Parties. 
It is hoped that the Joint Declaration on Cooperation will be signed in November this year. Also present at the function were the Norwegian Ambassador to Tanzania and the EAC, Ms Hanne-Marie Kaarstad; EAC Deputy Secretary General (Planning and Infrastructure) Dr. Enos Bukuku; Director General Customs and Trade, Mr Peter Kiguta, and; other senior officials.

Innovation Norway’s Chief Executive Officer Anita Krohn Traaseth and EABC Chairperson Denis Karera sign an MoU on cooperation between the two organizations as Norwegian Trade Minister Monica Maeland and EAC Secretary General Amb. Dr. Richard Sezibera look on.
Norway’s Minister for Trade and Industry, Ms Monica Maeland, bids farewell to EAC Secretary General, Amb. Dr Richard Sezibera, after the two held talks on cooperation between Norway and the EAC.

DKT. MAGUFULI AZURU KABURI LA ALIYEKUWA MWALIMU WAKE WA DARASA LA KWANZA BIHARAMULO

$
0
0
  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia na ndugu wa Marehemu Cornel Pastory,alipowasili kwenye kijiji cha Nyakantutu,wilayani Biharamulo.Dkt Magufuli amemaliza mikutano yake ya kampeni mkoani Kigoma na kuelekea nyumbani kwake wilayani Chato kwa mapumziko ya siku mbili, ambapo siku ya Jumapili atawahutubia Wananchi mjini humo na kisha kuanza ziara yake mkoani Kagera.
 Marehemu Cornel Pastory enzi za uhai wake
  Dk Magufuli akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa mwalimu wake wa darasa la kwanza shule ya Msingi Chato, marehemu, Cornel Pastory. 
  Dk Magufuli akiomba alipozuru kaburi la aliyekuwa mwalimu wake wa darasa la kwanza marehemu Pastory wilayani Biharamulo, Kagera.
  Dk Magufuli akiomba alipozuru kaburi la aliyekuwa mwalimu wake wa darasa la kwanza marehemu Pastory wilayani Biharamulo, Kagera.
 Wananchi wa Biharamulo wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia mjini humo.
 Wakazi wa Biharamulo wakishangilia mara baada ya kusikiliza sera za Dkt Magufuli mapema leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa CCM mjini humo .


TANZIA: MAREHEMU ESTHER GLORY MALONGO WA ATHENS, GREECE

$
0
0
Familia ya Marehemu George na Mama Rhoda Malongo wa Upanga, Dar es Salaam, wanasikitika kutangaza kifo cha binti yao mpendwa Esther Glory Malongo (pichani) kilichotokea ghafla tarehe 16/09/2015 kule Athens, Ugiriki. (1 Timothy 4: 7 Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda.)

Esther ataagwa na jamii ya Watanzania waishio Ugiriki siku ya Jumanne tarehe 22 September 2015. Halafu anategemewa kusafirishwa kutokea Ugiriki siku ya Alhamisi, tarehe 24 September 2015. Mazishi yanatarajiwa kuwa Jumamosi ya tarehe 26 September 2015 jijini  Dar es Salaam Tanzania. 


Mipango ya kuusafirisha mwili inaendelea kule Athens, Ugiriki. Msaada wa hali na mali unahitajika sana ili kuweza kufanikisha zoezi hili. Unaweza kutuma hela kupitia Western union, Athens, Greece kwa Ms Edna Neilly Malongo.

Kwa Mawasiliano zaidi:-

Edna Malongo +30 694 922 8337 
au +255 784 600 577 (whatsApp only )

Tunatanguliza shukrani nyingi kwa upendo na ushirikiano wenu, Mungu na awabariki sana na akanyanyue watu wa kuwasaidia wakati mkihitaji msaada.

SIMU TV: UCHAMBUZI WA MAGAZETI SEPTEMBER 19. 2015

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAKABIDHIWA PIKIPIKI TANO

$
0
0
 Mwakilishi  wa washirika la kuhudumia watoto Zanzibar (Save the children)  Mali Lisson akitoa maelezo kabla  ya kukabidhi pikipiki za wakuu wa vitengo vya mkono kwa mkono  katika hafla iliyofanyika  wizara ya  afya  mnazimmoja mjini zaznibar.
 Mwakilishi  wa Shirika la kuhudumia watoto Zanzibar (Save the children)  Mali lisson akimkabidhi funguo za pikipiki tano, Naibu waziri  wa  Afya  Mahmoud Thabit Kombo  kwa ajili ya wakuu wa vitengo vya mkono kwa mkono  wa wilaya katika hafla  iliyofanyika  wizara ya Afya  mnazimmoja  mjini Zanzibar.
 Naibu waziri wa Afya Mahmoud Thabit  Kombo akitia saini  baada ya kupokea pikipiki tano kwa ajili ya kuwarahisishia kazi  wakuu wa vitengo vya   huduma ya mkono kwa mkono wa wilaya.

picha zote na Miza Othman –maelezo zanzibar.
Pikipiki walizo kabidhiwa wakuu wa vitengo  vya mkono kwa mkono kwa ajili ya kuwasaidia shughuli za kufuatilia vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia kwa watoto.

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI MBALIMBALI

$
0
0


AZAM TV: Mhe.Lowasa awaomba wananchi wa Mleba kumpigia kura ili aweze kutekeleza adhma yake ya kuwatumikia wananchi; https://youtu.be/VkTOsMHTP-I

CH 10: Mgombea mwenza CCM Samia Suluhu atinga kisiwani Mafia na kuwaelezea wakazi wa kisiwa hicho ilani ya chama hicho; https://youtu.be/8FAmnOwHPiU

tbc: Raia 40 wa Ethiopia wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Lindi kwa kuingia nchini bila kuwa na kibali;  https://youtu.be/KJ0X9vKqiao

star tv: Vyombo vya habari nchini vimetupiwa lawama kwa kushindwa kuarifu umma juu ya hatari ya kuzipoteza rasilimali za asili;  https://youtu.be/1uiT18BT8qg

MLIMANI TV: NCCR Mageuzi kimeibuka na kudai kuwa kimebaini kuwa kuna watu wameibuka wakiwa na nia ya kuwadhuru viongozi  wao;https://youtu.be/m50IiIcEQoM

CHIKU ABWAO: HERI YA MONICA MBEGA WA CCM KULIKO MCHUNGAJI MSIGWA WA CHADEMA NAOMBA NICHAGUENI MIMI SAFARI HII

$
0
0
MGOMBEA  Ubunge wa jimbo la Iringa Mjini kupitia ACT Wazalendo Bi Chiku Abwao(pichani) amesema heri ya miaka mitano ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Mobica Mbega ( CCM) kuliko miaka mitano ya Mchungaji Peter Msigwa ( Chadema)hivyo ametawa mwaka huu wananchi kumchagua yeye

Akizungumza katika mkutano wake wa kampeni za Ubunge jana  kata ya Kihesa alisema iwapo atakuwa mbunge wao atahakikisha anakuwa mbunge wa mfano wa kuwaletea maendeleo sahihi.

Kwani alisema kuwa historia ya jimbo hilo mwaka 1995 walichagua NCCR mageuzi ambapo Bw Mfalamagoha Kibasa kuwa mbunge ila baada ya kushindwa kutekeleza ahadi zake mwaka 2000 walimchagua Monica Mbega ( CCM) ambae kipindi cha kwanza alifanya Kazi vizuri na mwaka 2005 wananchi walimchagua tena ila hakuweza kufanya Kazi ndipo walipomchagua Mchungaji Peter Msigwa( Chadema) ambae hajafanya Kazi yoyote.

Hoax alert on telecoms data services switch-off In Tz

$
0
0
Good people,
I understand that some of you will have seen or heard about a disturbing message on WhatsApp about all data communications being closed during the election period.

Please rest assured that the message is a hoax.

On JamiiForums, someone has offered an excellent analysis as per hereunder.  You are welcome to copy and paste it that text as a response to anyone who propagates the hoax.  

The original message can be found at
 the link, where the hoax alert is also quoted.

Cheers,
DS.

=============================

KUHUSU: Taarifa inayosadikiwa kutoka kwa "Rene Meeza, Mwenyekiti wa umoja wa makampuni ya mawasiliano Tanzania".

Kwenye JamiiForums, kuna mtu aliyejisajili ya jina la "Mdanganywa", ambaye amejibu vizuri ifuatavyo:
-------
http://www.jamiiforums.com/showpost.php?p=14037211
Mtoa maelezo,

1: Kwanza jina la huyo jamaa anaitwa Rene Meza na siyo Rene Meeza

2: Nijuavyo mimi Rene Meza hajui kiswahili ni mtu wa nchi moja huko South America, sijui ni Colombia au Venezuala.

3: Rene Meza alitangazwa kwamba ameshaacha kazi hapa nchini na nafasi yake imechukuliwa na jamaa anaitwa Ian Ferrao.

4. Taarifa yako imeandikwa tarehe 19.09.2015 wakati leo ni 18.09.2015.

5. Umoja wa Makampuni ya simu hata hukutaja unaitwaje walau kwa kifupi

6. TCRA au taasisi ya serikali, haitumi taarifa kwenye Umoja. Umoja ni kitu ambacho hakiko registered. Ni kama ambavyo NEC haiwezi kutuma taarifa kwenye UKAWA maana UKAWA haijasajiliwa. Hivyo, taarifa zote hutumwa kwenye kampuni zote hata kama itakuwa ni barua moja itachapwa ileile na wanabadilisha addressee. hata kama makampuni yako 1,000 kila kampuni itapata barua yake binafsi

7. Kama ni taarifa ingetoka moja kwa moja TCRA au NEC kwenda kwenye vyombo vya habari na si kwingineko

8. Agizo lolote la kisheria hutamka kifungu cha sheria kinachotumika kuweka katazo hilo, barua yako haina kifungu chochote.

9. TCRA ni chombo huru kama ilivyo NEC haipati maelekezo toka NEC. TCRA wanafanya kazi kwa mujibu wa Sheria ya TCRA na zingine kama Electronics, na si vinginevyo.

10. Leseni za makampuni hazina kifungu kinachokataza kufanya biashara kwa sababu ya uchaguzi, unataka kusababisha wapelekwe ICC.

Kajipange upya kutuelezea
--------

SIMU TV: Meneja wa maadili kutoka baraza la habari MCT Allan Lawa akielezea mwenendo wa vyombo vya habari kipindi cha uchaguzi mkuu

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI WA AFRIKA KUSINI SIPHO MWAKABANE KUSHIRIKI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI OKTOBA 4 MWAKA HUU.

$
0
0
 Mwenyekiti wa  kamati ya maandalizi ya Tamasha la Amani linalotarajia kufanyika Oktoba 4 kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusina na Msanii wa Afrika Kusini,Sipho Mwakabane ambaye atatumbuiza katika tamasha  Oktoba 4 mwaka huu. Pia amesema kuwa msanii huyo wa nyimbo za Injili wa kimataifa. Na kulia ni Mratibu wa Tamasha la kuombea Amani, Hudson Kamoga.
Mratibu wa Tamasha la kuombea Amani, Hudson Kamoga akizungumza na waandishi wa habari leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salam amesema kuwa watanzania wote bila kujali kabila, rangi na dini zote wajitokeze katika tamasha hilo la kuombea amani ambapo viingilio ni sawa na bure kabisa watu wazima kwa nafasi ya VIP wataingia kwa shilingi elfu tano (5000), kawaida elfu tatu (3000) na watoto ni shilingi elfu moja(1000)
Baadhi ya waandishi wa habari wakifurahia jambo wakati wakimsikiliza Mwenyekiti wa  kamati ya maandalizi ya Tamasha la Amani linalotarajia kufanyika Oktoba 4 kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama leo jijini Dar es Salaam.
KAMATI ya maandalizi ya Tamasha la Amani linalotarajia kufanyika Oktoba 4 kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam imesema kuwa Mwimbaji wa nyimbo za Injili wa Afrika kusini, Sipho Mwakabane kuwa atashiriki tamasha la kuombea amani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu ili uwe wa amani na utulivu.
Ameyasema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama.
Msama alisema watoto watachangia shilingi 1000 ambako alitoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi katika kufanikisha maombi ya amani katika nchi yetu.
Msama alisema katika tamasha hilo waimbaji mbalimbali watasindikiza maombi hayo sambamba na viongozi wa dini watakaochagia maombi hayo aidha Msama alisema kauli mbiu ya tamasha hilo ni Tanzania ni ya kwetu, tuilinde na kuitunza amani yetu, hivyo ni nafasi ya Watanzania kuzingatia kauli hiyo ambayo inazuia machukizo kwa Mungu.
"Watanzania tunatakiwa tujitokeze kwa wingi katika ufanikishaji wa tamasha hilo ambalo linatakiwa kuwa na tamko moa la amani kuelekea uchaguzi mkuu ambao utahusisha nafasi za Udiwani, Ubunge na Urais," alisema Msama.

Alisema baada ya kumalizika jijini Dar es Salaam, Oktoba 6 tamasha hilo litafanyika Morogoro, Oktoba 8 (Iringa), Oktoba 10 (Makambako), Oktoba 11 (Mbeya), Oktoba 13 (Dodoma), Oktoba 14 (Singida), Oktoba 15 (Tabora), Oktoba 16 (Shinyanga) na Oktoba 18 (Mwanza).

BENKI YA DCB YAKUTANISHA VIONGOZI WA SACCOS JIJINI DAR ES SALAAM

$
0
0
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
BENKI ya DCB imekutanisha viongozi wa  mifuko ya kuweka na Kukopa (SACCOS) kuweza kuwapa fursa mbalimbali zilizopo katika benki hiyo.
Akizungumza na viongozi wa SACCOS,Meneja Mwandamizi wa Biashara Ndogo na Kubwa,Haika Machaku,amesema benki ya DCB iko karibu na SACCOS katika kupata fursa za utuzaji wa Amaana na huduma mbalimbali kwa gharama  nafuu.

Amesema wataendelea kushirikiana  na SACCOs kuangalia watavyoweza kusaidiana katika kuimarisha saccos pamoja na wanachama kunufaika na mikopo katika benki hiyo.

Aidha amesema kuwa  nia ya benki kuahakikisha wanachama wananufaika na benki  katika kuendeleza maisha kupitia fursa ambazo benki imeanisha kuinua wajasiriamali  pamoja na ushirika ikiwemo SACCOS.

Benki imewataka viongozi wa SACCOs  kufungua akaunti katika benki hiyo katika kuweza kuanza kufanya kazi  kwa ushirikiano na fursa zao ziweze kuwafikia wanachama.
 Meneja wa Mwandamizi wa Biashara Ndogo na Kubwa wa Benki ya DCB,Machaku,akizungumza na viongozi mbalimbali wa Saccos juu  ya fursa zinazopatikana katika benki ya DCB leo Makao Makuu ya DCB jijini Dar es Salaam.
 Meneja Masoko wa Benki ya DCB, Boyd Mwaisame akizungumza na viongozi wa SACCCOs  jinsi watavyoshirikiana katika kuinua SACCOs,leo Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa SACCOS ya Wafanyakazi wa TRL,Gwammy Mwakangale Akichangia maada katika mkutano wa DCB  juu ya faida zinaziopatikana katika benki hususani mikopo ya nyumba leo Makao Makuu ya DCB,jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki  ya viongozi wa SACCOs wakiwa katika mkutano ulioitishwa na benki ya DCB kuwapa fursa zinazopatikana katika benki hiyo leo jijini Dar es Salaam.
picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii.

BARAZA LA VYUO VIKUU AFRIKA MASHARIK(IUCEA)KUWA NA MAONESHO YA VYUO VIKUU UGANDA

$
0
0
Katibu Mtendaji wa Baraza la Vyuo Vikuu Afrika Mashariki(IUCEA)Profesa Mayunga Nkunya akizungumza na waandishi wa habari Jijini Arusha jana kuhusu hali ya wahitimu katika nchi za Afrika Mashariki na ushirikiano wa Baraza la Wafanyabiashara Afrika Mashariki(EABC) kuwajengea uwezo wahitimu ili kumudu soko la ajira .Taasisi hiyo itakuwa na maonesho ya vyuo katika nchi za EAC  Kampala ,Uganda mwezi Oktoba ,2015.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Wafanyabiashara wa Afrika Mashariki(EABC)Lilian Awinja akizungumza katika mkutano huo.
Waandishi wa habari wakifatilia kwa makini kwaajili kuuhabarisha umma.
Imeandaliwa na www.rweyemamuinfo.blogspot.com

MBOWE ATAKA KAMPENI ZA KIISTARABU

$
0
0

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kila chama kifanye  kampeni za kistaarabu ili kila mtu aende Ikulu  pasipo kuvuruga amani.

Mbowe ameyasema hayo leo mbele ya waandishi wa habari wakati wa kuelezea masuala ya kampeni zinazoendelea kwa vyama vyote vya siasa, pia amesema kuwa kuna kauli za viongozi wa baadhi ya vyama ambazo haziridhishi katika kupiga kwao kampeni.

Mbowe amasema kauli ya watu hao ni ya kichochezi na haiwezi kuvumilika lakini chama husika hakikuweza kufuta kauli hiyo.

Aidha amesema kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekaa kimya kwa kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya vyama kuwa hawawezi kuachia watu wakatawale Ikulu.

Amesema kumekuwa na changamoto katika umoja wa katiba ya wananchi lakini hadi sasa mgogoro wa majimbo hauzidi 10 ambapo ni hatua nzuri kwa umoja huo nia yao ni kwenda Ikulu na sio kuwagwana majimbo kama sadaka.

Mbowe amesema tatizo la viongozi waandamizi  NCCR-MAGEUZI, inatokana na kutaka majimbo wasimame licha kutambua mtu anapewa kugombea  kutokana na sifa alizonazo  pamoja na uwezo wa mtu kushinda katika uchaguzi mkuu.
 
 Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Freeman Mbowe akizungumza na waandishi wa habari  (hawapo pichani)juu hali ya kampeni inayoendelea kwa baadhi ya vyama kushindwa kufanya kampeni za kiistarabu leo Ngome ya UKAWA jijini Dar es Salaam leo,kulia ni Afisa Habari wa Chama hicho,Tumaini Makene.
Waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)Freeman Mbowe leo makao makuu ya ngome ya UKAWA jijini Dar es Salaam leo.

KONGAMANO LA WAJASIRIAMALI WANAWAKE NCHINI LAFANA

$
0
0
 Meneja wa Mpango wa  Uchangiaji wa Hiari kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bi. Mwanjaa Sembe (katikati) akimfafanulia jambo Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi katika Kongamano la Wajasiriamali Wanawake nchini kabla ya uzinduzi wa Kampuni ya Voice of Women Entrepreneures Tanzania (VoWET) uliofanyika jijini Dar es Salaam leo (jana).wa kwanza kushoto ni Meneja Msaidizi wa Mfuko huo Bi Matilda Nyallu.
 Wafanyakazi wa Mfuko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF wakiwa katika Banda la Mfuko huo wakati katika Kongamano la Wajasiriamali Wanawake nchini kabla ya uzinduzi wa Kampuni ya Voice of Women Entrepreneures Tanzania (VoWET) uliofanyika jijini Dar es Salaam leo (jana), wa kwanza kulia ni Meneja wa Mpango wa  Uchangiaji wa Hiari kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bi. Mwanjaa Sembe.
 Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi akizindua Kampuni ya Voice of Women Entrepreneures Tanzania (VoWET) katika Kongamano la Wanawake Wajasiriamali nchini lililofanyika jijini Dar es Salaam, kushoto ni Rais wa VoWET nchini Bi. Mahida Waziri.

LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MJINI BUKOBA LEO

$
0
0
 Umati wa Wananchi wa Mji wa Bukoba ukiwa umefurika kwenye Uwanja wa Aghakhan kuhudhulia Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, leo Septemba 19, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi Bukoba waliofika kwenye Mkutano wa Kampeni, kusikiliza sera zake, uliofanyika kwenye Uwanja wa AghaKhan, Mjini Bukoba, Mkoani Kagera leo Septemba 19, 2015.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini kupitia CHADEMA, Willfred Lwakatare, akihutubia wananchi kwenye Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa AghaKhan, Mjini Bukoba, Mkoani Kagera leo Septemba 19, 2015.

KUONA PICHA ZAIDI
Viewing all 110182 articles
Browse latest View live




Latest Images