Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117903 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUGENZI MKUU MSTAAFU WA TTCL ADOLAR MAPUNDA AFARIKI DUNIA

HABARI ZILIZOTUFIKIA ASUHII HII NI KWAMBA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA SIMU NCHINI ADOLAR BARNABAS MAPUNDA AMEFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO KATIKA HOSPITALI YA HINDU MANDAL JIJINI DAR ES SALAAM...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOHUSIKA NA UJENZI WA JENGO LILILOPOEROMOKA LEO KUWAJIBISHWA

 Jengo lililo pembeni mwa msikiti wa Shia Ithnaasheri mtaa wa Indira Ghandi katikati ya jiji la Dar es salaam linavyoonekana baada ya kuporomoka asubuhi hii. Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar es salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE, MAKAMU WAKE DKT. BILAL, WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA...

Rais Jakaya Kikwete, akiweka saini katika kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Chambani CUF, Salim Hemed Khamis, aliyefariki dunia jana katika Hospitali ya Taifa Muhimbili...

View Article

VIDEO YA TUKUO LA UOKOAJI KATIKA JENGO LILILOPOROMOKA LEO JIJINI DAR

.

View Article

video SHOWING SCENE OF A 15-STOREY BUILDING THAT COLLAPSED AND KILLED SEVERAL...

View Article


HALI ILIVYO KATIKA JENGO LILILOPROMOKA DAR ES SALAAM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATEMBELEA JENGO LILILOPOROMOKA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar es salaam leo akiwa ameongozana na mkewe Mama Salma Kikwete kujionea mwenyewe jengo lililoporomoka asubuhi saa mbili na nusu leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAMBI RAMBI KUTOKA UJERUMANI KUFUATIA KUANGUKA KWA JENGO DAR

Umoja wa Watanzania Ujerumani umepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kuanguka kwa jengo mjini Dar es Salaam. tunawapa pole nyingi ndugu na jamaa wa waliopoteza maisha, Umoja Wa Watanzania Ujerumani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU

Marehemu Mzee John P Sunga Ilikuwa kama ndoto lakini ni kweli yalitimia, tunaamini kimwili hauko nasi lakini kiroho u nasi. Tunakukumbuka daima mpendwa wetu. Upendo na ucheshi wako kwa familia...

View Article


SIKU YA TAIFA YA KUPANDA MITI 2013 KUADHIMISHWA KITAIFA MKOANIMOROGORO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NYUZZZZZ.......: MTUHUMIWA WA MAUAJI YA PADRI EVALIST MUSHI AKAMATWA...

MTU ANAESADIKIWA KUWA NDIE MUUAJI WA PADRI EVARIST MUSHI WA KANISA KATOLIKI VISIWANI ZANZIBAR AMEKAMATWA ALASIRI HII MAENEO YA KARIAKOO, ZANZIBAR.JESHI LA POLISI LIMETHIBITISHA KUKAMATWA KWA MTUHUMIWA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA MSIBA

Wanangwa Mtawali(Born Feb 1962 – Died Mar 28, 2013)Familia ya Marehemu Clement na Marehemu Mwalimu Margareth Mtawali, wa zamani Chuo cha Ushirika Moshi, wanasikitika kutoa taarifa ya msiba wa Wanangwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IN LOVING MEMORY

Dada Grace Simtaji NgowiOur  beautiful Sister, our beautiful Mother, today 29.03.2013  is exactly one year since you passed away and left us with sorrow, tears and confusion. We thank God for the time...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Guess what...KFC to hit Dar soon!

KFC to open shop in Dar es salaam soon! That is at Mikocheni, along Mwai Kibaki Road (formerly Old Bagamoyo Road) on the way to Butiama, next door to the Arcade...yummy!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mechi za Kirafiki Mpira wa Miguu na Mikono timu za Ikulu Dar na ZNZ.

  Mchezaji wa Timu ya Netball ya Ikulu ya Dar es Salaam Haika Masoud (kulia) akimzuia Beshuu Abdalla wa Ikulu ya Zanzibar wakati wa mchezo wa Kirafiki katika michezo ya Sherehe za Pasaka katika viwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhe James Mbatia aonesha uzalendo wa hali ya juu katika kuweka mambo sawa...

Mbunge na Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mhe James Mbatia ni mmoja wa mashujaa wasioimbwa (Unsung Heroes) waliofanya makubwa wakati wa zoezi la uokoaji katika jengo lililopromoka leo katika mtaa wa Indira...

View Article

Ngoma Azipendazo Ankal

Wakubwa wamelalamika kuwa tumewasahau kabisa katika safu hii. Basi nawapa hii ya Aretha Franklin iitwayo 'Respect' ya mwaka 1967

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALBINUS AWA MFALME WA UZITO WA UNYOYA WA DUNIA KWA VIJANA

Albini Felesianu wa Namibia akipambana na Herbert Quartey wa Ghana jijini WindhoekRais wa IBF Africa Onesmo Ngowi (kulia) akimpongeza Albinu Felesianu Bondia Albinu Felesianu wa Namibia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 22

View Article

NENO KUTOKA KWA ERIC SHIGONGO

“Kama zilivyo alama za mikono yetu, hakuna mtu anayefanana na wewe.  Umejaa vipaji lukuki ndani yako, tatizo huamini kama unaweza  na kwa sababu watu walikuambia hivyo,  ndiyo sababu hiyo watu wengi...

View Article
Browsing all 117903 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>