Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 119426 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA KUZUIWA KWA NDEGE YA AIR TANZANIA AFRIKA KUSINI,WAZIRI WA UJENZI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUJENGA RELI YA KISASA KWA FEDHA...

Na Benny Mwaipaja, WFM, Dar es SalaamMKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya Dunia, Kanda ya Afrika, Bi. Anne Kabagambe, ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kutekeleza Mradi Mkubwa wa Ujenzi wa Reli ya Kati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI JAFO AITAJA NMB KATIKA MAFANIKIO SERIKALINI

Waziri Selemani Jafo,akizungumza kwenye ufunguzi wa Teachers day mkoa wa Dodoma iliyoandaliwa na benki ya NMBBaadhi ya walimu Mkoa wa Dodoma wakishiriki Mkutano uliyoandaliwa na benki ya NMBWaziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom yadhamini Ligi kuu Tanzania bara

 Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Hisham Hendi (kulia) akimkabishi Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia (Kusho ), mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAJIPANGA KUONGEZA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI-WAZIRI HASUNGA

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akifungua Mkutano mkuu wa mwaka wa dharura wa TCCIA mwaka 2019 uliofanyika New African Hotel Jijini Dar es salaam, leo tarehe 24 Agosti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AWESO ATAKA WAJUMBE BODI INAYOSIMAMIA MRADI WA MAJI WA MAKILENGA WILAYANI...

Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) akiwa na Meneja RUWASA Wilaya ya Arumeru, Mhandisi Christine Kessy akikagua tenki la maji la Mradi wa Maji wa King’ori.Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT SHEIN AFUNGUA HOTELI YA MADINAT AL BAHAR,MBWENI ZANIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akifuatana na Mtendaji Mkuu wa Hoteli ya Madinat Al Bahar Bw Rustamali Merani Shivji wakati alipotembelea sehemu mbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MILIONI 300 KUTUMIKA MRADI WA MAJI HOROHORO

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly kulia akisisitiza jambo kwa Msimamizi wa Mradi wa Tanga Uwasa Mhandisi Shame Juma katikati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YASHINDWA KUTAMBA MICHUANO YA FEASSSA ARUSHA

Mathayo Sombi Mtanzania aliyeshika nafasi ya Pili katika mbio za mita 10,000 na kupewa medhali ya Fedha.Mathayo Sombi Mtanzania aliyeshika nafasi ya Pili katika mbio za mita 10,000 na kupewa medhali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA KANISA LA ANGLIKANA WACHANGIA DAMU MLOGANZILA

Mwanasayansi wa Maabara wa Hospitali ya Taifa Muhimbili –Mloganzila Bw. Jastus Silvester akimuhudumia Bi. Foibe Jackson kutoka Kanisa la Anglikana wilaya ya Ubungo ambaye ni mmoja wa vijana wa Kanisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi wala rushwa kutimuliwa kazi

Na Woinde Shizza Michuzi Tv ,ArushaJESHI la Polisi mkoa wa Arusha,limesema kuwa litawafukuza askari wa jeshi hilo pamoja na maafisa wake bila kujali cheo chake ikiwa watabainika kuomba rushwa kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKUNDI YA UCHAGUZI UKARA, UKEREWE YALIIANGUSHA CCM DHIDI YA CHADEMA

Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Salum Kalli, akizungumza na wanachama wa CCM (hawapo pichani) wa Kata ya Bwisya Tarafa ya Ukara wilayani Ukerewe jana.………………….NA BALTAZAR MASHAKA, UKARAMAKUNDI ya viongozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA 50 WA CHAMA CHA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA KANDA YA AFRIKA

Mkutano wa 50 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika unategemea kuanza tarehe 30 Agosti, 2019 mpaka tarehe 5 Septemba, 2019 katika hoteli ya Madinat Al Bahr, Zanzibar(PICHA NA OFISI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKIZI YA BI KIDUDE.

NA Moshy Kiyungi,Tabora.Ukipima kwenye mizani historia ya muziki wa taarabu na tamaduni za unyago Visiwani Zanzibar, ni wazi kwamba mizani hiyo lazima itaegemea upande wa Fatuma Binti Baraka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT NDUGULILE AAGIZA UTEKELEZAJI MAJUKUMU KAMATI ZA ULINZI WA WANAWAKE NA WATOTO

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile akimkabidhi kitabu cha Mpango Mkakati wa kutokomeza Ukatili wa Kijinsia dhidi ya wanawake na watoto Mkuu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMLA YA MASHAURI 14 YAFUNGULIWA NA KUSIKILIZWA NA MAHAKAMA INAYOTEMBEA...

Gari likiwa eneo linapopaki Buhongwa mnamo Agosti 22, 2019.Mhe Hakimu (aliyeketi mbele) akisikiliza kesi ndani ya Mahakama inayotembea 'Mobile Court' mkoani Mwanza.Na Mary Gwera, MahakamaJumla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DEKULA KAHANGA ‘VUMBI’ ANAYEMILIKI BENDI YAKE SWEDEN.

Na Moshy Kiyungi,Dar es SalaamDekula Kahanga ameweza kuyasaka mafanikio hadi kuunda bendi yake anayojulikana kama Dekula band akiwa katika jiji la Stockholm nchini Sweden.Kabla ya kwenda nchini humo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RASHIDI PEMBE ‘KULI’ MANZESE HADI KUMILIKI BENDI.

Na Moshy Kiyungi,Tabora.Mafanikio yoyote ya mwanaadamu hupatikana baada ya kukabiliana na changamoto nyingi, ambazo wengine hushindwa kuvumilia wakaishia kukata tamaa.Rashidi Pembe ni mmoja kati ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA SEPETU ASIYEFUTIKA KWENYE VYOMBO VYA HABARI NCHINI.

Na Moshy Kiyungi,Tabora.Jina la Wema Sepetu ni maarufu lililojitokeza hususan baada ya kushiriki na kushinda mashindano ya Miss Tanzania ya mwaka 2006.Aliongeza umaarufu zaidi baada ya kujikita katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwakyembe Afunga Mashindano ya FEASSSA

Na Mathew Kwembe, ArushaWaziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe ameyafunga Mashindano ya 19 ya michezo ya shule za Sekondari kwa nchi za Afrika Mashariki (FEASSSA) kwa...

View Article
Browsing all 119426 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>