Naibu Mkurugenzi Mkuu UNEP atembelea sekondari ya Jangwani ataka wasichana...
Na Mwandishi wetuNaibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP), Joyce Msuya amewataka wasichana nchini kujipanga vyema kutafuta maisha kwa kuzingatia fursa ambazo...
View ArticleTigo Yamwaga Zawadi Kibao Kwenye Shindano la Tigo Fiesta 2018 Chemsha Bongo...
Mshindi wa Shindano la Tigo Fiesta 2018 Chemsha Bongo Trivia , Zam Mohammed Zam wa Mombasa Unguja akipokea shilingi milioni moja kutoka kwa Msimamizi wa Kampuni ya Tigo tawi la Zanzibar, Adolph...
View ArticleWAKANDARASI WAZAWA WAASWA KUACHA UBABAISHAJI WANAPOPEWA KAZI
Na, Vero Ignatus, KaratuMKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ameiagiza kampuni ya Kiure Engineering Ltd kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa daraja uliogharimu Sh. milioni 250 fedha zilizotolewa na...
View ArticleISSA NAMPEPECHE NA HASHIMU CHISOLA WAPIMA UZITO KUZIPIGA OCTOBAR 20
Na Mwandishi wetuBONDIA Issa Nampepeche na Hashimu Chisola wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa raundi kumi utakaofanyika jumamosi ya Octobar 20 katika ukumbi wa CCM Mwijuma Mwananyamala...
View ArticleMAONI YA MDAU: Tuiasaidie Polisi kukabiliana na watekaji watu
Na Evance Ng’ingo HIVI karibuni mfanyabiashara mkubwa nchini na Afrika nzima kwa ujumla, Mohamed Dewji, Moo alitekwa na watu wasiojulikana ambao hadi sasa jeshi la Polisi linaendelea kuwasaka. Habari...
View ArticleRC Wangabo ataka “work plan” ujenzi wa VETA wenye thamani ya Bil.10.7
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametaka kupewa mpango kazi wa ujenzi unaoendelea wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) cha Mkoa, kinachojengwa katika mtaa wa Kaswepepe, kata ya Sumbawanga asilia,...
View ArticleIGP SIMON SIRRO AVUNJA UKIMYA KUTEKWA KWA MO
*Asema kuna gari wanaishikilia inayodhaniwa kuhusika katika kutekwa kwake*Watu nane waendelea kushikiliwa, azungumzia umuhimu wa CCTV KameraNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiJESHI la Polisi nchini...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI WAWILI IKULU...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Japan hapa nchini Shinichi Goto Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI WAWILI...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Japan hapa nchini Shinichi Goto Ikulu jijini Dar es Salaam.Rais wa Jamhuri ya...
View ArticleRAIS MAGUFULI KUTANA NA TAIFA STARS, AWAPATIA MILIONI 50
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ametoa kiasi cha Milioni 50 kwa timu ya Taifa ya Tanzania.Fedha hizo ni kwa ajili ya safari ya mchezo wa...
View ArticleNHIF YATUMIA MAAFALI YA SHULE YA MSINGI KANA CENTRAL ENGLISH MEDIUM KUTOA...
MFUKO wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) umewapa mbinu bora za wazazi na walezi kuwapa zawadi muhimu watoto wao katika maisha yao ni kuwaingiza kwenye mpango wa Toto Afya kadi ili waweze kunufaika na...
View ArticleDKT TIZEBA AWATAKA WAKULIMA WA NYANYA IRINGA KUCHANGAMKIA FURSA YA UZALISHAJI...
Na Mathias Canal-WK, Mseke-IringaWaziri wa Kilimo Mhandisi Dkt Charles Tizeba (Mb), amewataka wakulima wa nyanya Mkoani Iringa kuchangamkia fursa ya kuongeza uzalishaji wa nyanya ili kuakisi uhitaji wa...
View ArticleDK.MABODI AMUOMBEA KURA MGOMBEA WA CCM JANG’OMBE
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar Dk.Abdulla Juma Saadalla ‘Mabodi’ amewatahadharisha wanachama wa chama hicho, kuwa makini kwa kuepuka propaganda na...
View ArticleMAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU IMEMWONDOLEA MASHTAKA MFANYABIASHARA LAUWO
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuondolea mashtaka mfanyabiashara Peter Lauwo aliyetakiwa kuunganishwa katika kesi ya utakatishaji fedha pamoja na viongozi wa Simba na mfanyabiashara Hans Pope kwa...
View ArticleMAREKANI YAISHAURI TANZANIA KUFIKIA UCHUMI WA VIWANDA
Na Said Mwishehe,Globu jamiiKAIMU Balozi wa Marekani hapa nchini Dk. Imni Patterson, ameishauri Tanzania njia muhimu za kifikia uchumi wa kati na wa viwanda.Ushauri huo ameutoa leo jijini Dar es...
View ArticleULEGA AENDELEA NA ZIARA MKURANGA, AHIMIZA AMANI NA WAFUGAJI KUJISAJILI
Na Emmanuel Massaka, Blogu ya jamiiMBUNGE wa Mkuranga na Naibu Waziri wa mifugo na uvuvi Abdallah Ulega ameendelea na ziara ya kukagua na kuhamasisha miradi ya mandeleo pamoja na kusikiliza kero za...
View ArticleWAZIRI MKUU MAJALIWA AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA BAHI, AZINDUA...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo orodha ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi ambao bado...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI PAMOJA NA WACHEZAJI WA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars ambao walifika Ikulu jijini Dar es Salaam pamoja na Viongozi wa...
View ArticleMAHAKAMA IMEWAASA MAJAJI NCHINI KUZINGATIA SHERIA ZILIZOPO KULINGANA NA...
Na Karama Kenyunko, Glogu ya JamiiMAHAKAMA imewaasa Majaji nchini kuzingatia sheria zilizopo kulingana na mazingira ya Taifa na Jamii kwa ujumla katika mchakato mzima wa kutoa maamuzi ili kimuweza...
View ArticleNAIBU SPIKA DKT. TULIA ACKSON ATEMBELEA BENKI YA CRDB NA KUFANYA MAZUNGUMZO...
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson leo ametembelea Benki ya CRDB na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, AbdulMajid Mussa Nsekela. Dkt. Tulia...
View Article
More Pages to Explore .....