MPINA AWATAKA VIONGOZI WOTE WA SERIKALI KUSHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE ULINZI WA...
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akifunua kitambaa katika jiwe la msingi la ufunguzi wa Mnada wa Kimataifa wa Mifugo Kirumi ulioko wilayani Butiama mkoani Mara juzi, wengine wanaoshuhudia ni...
View ArticleMASAUNI AZINDUA KAMPENI MAALUMU YA USALAMA BARABARANI NA UDHIBITI WA AJALI...
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad Masauni, amewatadharisha wamiliki wa shule...
View ArticleNDITIYE AKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI A BANDARI KAVU, KWALA VIGWAZA
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye akitoa maelekezo kwa wasimamizi wa mradi wa ujenzi wa bandari kavu, Kwala eneo la Vigwaza mkoani Pwani. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi...
View ArticleKOMU,KUBENEA WAWEKWA CHINI YA UANGALIZI CHADEMA
Na Mwandishi wetu, Globu ya JamiiKAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imewavua nafasi zote za uongozi na kuwaweka chini ya uangalizi kwa mwaka mmoja, Mbunge wa Ubungo, Saed...
View ArticleRC GAMBO:MTUMISHI ALIYECHUKUA PESA ZAIDI(YA MWANANCHI) YA KUUNGANISHA UMEME...
Na Vero Ignatus, KaratuMKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amemwagiza Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)Wilaya ya Karatu, Edward Mwakapaju kuhakikisha mtumishi wa shirika hilo aliyechukua...
View ArticleTAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) KUONGEZA KASI YA MATIBABU YA MOYO KWA...
Katika kuimarisha na kuboresha matibabu ya magonjwa ya moyo kwa watoto, Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeendelea kuboresha wodi ya watoto iliyopo katika jengo la watoto ili ifikapo Desemba...
View ArticleRC GAMBO:MTUMISHI ALIYECHUKUA PESA ZAIDI(YA MWANANCHI) YA KUUNGANISHA UMEME...
Na. Vero Ignatus, Karatu. MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amemwagiza Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)Wilaya ya Karatu, Edward Mwakapaju kuhakikisha mtumishi wa shirika hilo...
View ArticleMPINA AWATAKA VIONGOZI WOTE WA SERIKALI KUSHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE ULINZI WA...
NA JOHN MAPEPELE, MARAWAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina amewataka viongozi wote wa serikali kuanzia ngazi za vijiji,wilaya kushiriki kikamilifu katika ulinzi wa rasilimali za mifugo badala ya...
View ArticleKLINIKI YA HEAMEDA ILIYOPO BUNJU B DAR YAWEKA KAMBI KUPIMA MAGONJWA YASIYO YA...
*Daktari Bingwa wa magonjwa ya Moyo Dk. Mwandolela azungumzia mfumo wa maisha unavyochangiaNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiKLINIKI ya Magonjwa ya Moyo Heameda iliyopo Bunju B jijini Dar es Salaam...
View ArticleSERIKALI KUREJESHA HALI YA WANANCHI KUJILETEA MAENDELEO
Na Mwandishi Wetu Kibiti, PwaniWananchi wa Kijiji cha Mweyubaruti Kata ya Mwambao Wilaya Kibiti wametakiwa kujenga hali ya kujiletea maendeleo badala ya kusubiri serikali kwakuwa mwelekeo wa serikali...
View ArticleNEC YATANGAZA RATIBA YA UCHAGUZI JIMBO LA BABATI MJINI NA UKEREWE
Na Idara ya Habari-NECTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo kwenye majimbo mawili na kata 26 za Tanzania Bara.Majimbo hayo ni pamoja na Jimbo la Babati Mjini lililopo Halmashauri ya...
View ArticleWakulima wachangamkia fursa za Sim Akaunti ya Benki ya CRDB
Meneja usambazaji wa Sim Akaunti wa benki ya CRDB, Yusuph Mwenda akizungumza jambo kwa waandishi wa habari, wakati wa kuchezesha droo ya promosheni ya SimAkaunti, iliyofanyika leo, Mikocheni jijini...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AHUDHULIA MCHAPALO NA WADAU WA UTALII
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Sekta ya Utalii imeendelea kukua kwa kasi sana Duniani kutokana na maendeleo ya teknolijia na upatikanaji...
View ArticleTFDA YAIKUTANISHA TBS,GCLA,TAFFA KUJADILI UBORESHAJI WA UINGIZAJI WA BIDHAA...
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamii MAMLAKA ya chakula na dawa nchini (TFDA) kwa kushirikiana na shirika la Viwango nchini (TBS) , Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) chama cha mawakala...
View ArticleTMA YATABILI MVUA KATIKA MIKOA YA PWANI, KUANZA KUNYESHA NOVEMBA 23
Na Karama Kenyunko, glogu ya jamiiMAMLAKA ya hali ya Hewa nchini,( TMA) imesema mvua katika Mikoa ya Pwani ikiwemo Dar es Salaam zinatarajiwa kuanza Novemba 23 mwaka huu.Pia TMA imetoa utabiri wa msimu...
View ArticleJESHI LA POLISI LAMSHIKILIA MTU MMOJA KWA KUKUTWA NA GONGO
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza tunamshikilia mtu mmoja aitwaye Bilenjo Paul, miaka 46, mkazi wa Igombe, kwa kosa la kupatikana na pombe ya moshi (gongo) kiasi cha lita arobaini (40) pamoja na dawa ya...
View ArticleAWESO AITAKA DAWASA KUWEKA MIRADI MIPYA PEMBEZONI MWA MIJI
NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso amewataka Mamlaka ya Majisafi na Majitaka (DAWASA) kuweka miradi ya maji pembezoni mwa miji ili wananchi wapate maji.Aweso amewashukuru pia Shirika la...
View ArticleDC MURO AVIONYA VYAMA VYA SIASA KUTODUMAZA MAENDELEO
Na Imma Msumba, ArumeruMkuu wa wilaya ya Arumeru Mhe.Jerry Muro amevitaka vyama vya siasa kuacha malumbano na mvutano isiyokuwa na tija kwa wananchi wa Arumeru na badala yake amewataka kuungana na...
View ArticleSMARTPHONE, JEZI NA TIKETI KUTOLEWA KWA WASHINDI WA SHINDA ZAIDI NA SPORTPESA
Na Khadija Seif, Blogu ya JamiiKAMPUNI ya mchezo wa kubashiri ya sportpesa imechezesha droo ya 28 ya promosheni ya shinda zaidi na sportpesa, ambapo Amri Nicolas(28) kutoka Kigoma ameibuka mshindi...
View Article
More Pages to Explore .....