Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110193 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZAWADI ZATAJWA KICHOCHEO CHA UKEKETAJI TARIME

NA BALTAZAR MASHAKA, TARIME ZAWADI zimetajwa kuwa chanzo na kichocheo kikubwa cha vitendo vya ukeketaji na tohara kwa watoto wa kike na kiume wilayani Tarime katika Mkoa wa Mara. Hayo yamebainishwa na...

View Article



"Ushiriki wa Wananchi Katika Miradi ya Kimkakati Kuchochea Ukuaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OLE NASHA:VETA NI CHOMBO MUHIMU KATIKA UJENZI WA VIWANDA NCHINI

  Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia William Ole Nasha amesema kuwa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ni chombo muhimu katika kuzalisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI NDITIYE ATEMBELEA MRADI WA DGMP BANDARINI

Na Leonard MagombaMRADI mkubwa wa kuboresha Bandari ya Dar es Salaam ‘Dar es Salaam Maritime Gateway Program’ (DGMP) umefikia asimilia 42 ya ujenzi wake hadi sasa.Mradi huo unahusisha ujenzi wa gati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI YA CHALINZE YATAKIWA KUZIBA MIANYA INAYOSABABISHA KUSHUKA KWA...

NA MWAMVUA MWINYI,CHALINZEKAMATI ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Bagamoyo ,,imeiasa halmashauri ya Chalinze kuongeza usimamizi na jitihada ili kuinua ukusanyaji wa mapato yake ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATANO OKTOBA 17,2018

kusoma zaidi  magazeti ya leo bofya hapa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA MUHIMU KUTOKA MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA (TFDA).

View Article

ITV HABARI ZA SAA 17 OKTOBA 2018.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPIKA NDUGAI ATEMBELEWA NA WAGENI KUTOKA TAASISI YA KIMATAIFA YA KIDEMOKRASIA...

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akimsikiliza Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa ya Kidemokrasia (NDI) Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Dkt. Keith Jennings wakati Mkurugenzi huyo pamoja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt. Ndumbaro akutana na Balozi wa Uganda,Uingereza na Kaimu Balozi wa Marekani

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Damas Ndumbaro(Mb.) na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe wamekutana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZAIDI YA KAYA 200 KATA YA MNYANJANI JIJINI TANGA KUNUFAIKA NA MRADI WA UJENZI...

ZAIDI ya kaya 200 katika mtaa wa Mnyanjani kata ya Myanjani Jijini Tanga zitanufaika na mradi wa ujenzi wa mtaro kwa ajili ya kuondoa tatizo la mafuriko linalotokea kila nyakati za msimu wa mvua. Hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFDA YATOA UFAFANUZI KUHUSU DAWA ZINAZODAIWA KUTIBU MAGONJWA YA FIGO NA HOMA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA MARIE STOPES TANZANIA LARUHUSIWA KUENDELEA KUTOA HUDUMA ZAKE HAPA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUTOA HAKI

Na Lydia Churi-Mahakama SengeremaJaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amesema Mahakama itaendeleza ushirikiano uliopo kati yake na mihimili mingine ili kurahisisha suala la utoaji na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP AKUTANA NA BALOZI WA KOREA NCHINI

 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na  Balozi wa Korea nchini Song, Geum-young wakati balozi huyo alipotembelea Makao makuu ya Polisi Dar es Salaam ambapo walizungumza mambo...

View Article


KIONJO CHA BAGAMOYO ARTS FESTIVAL 2018

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAIMU MKURUGENZI TPA AFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR LEO

Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.KAIMU Mkurugenzi wa Rasilimali watu na Utawala wa mamlaka ya bandari Tanzania, (TPA) Peter Gawile amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hakuna cha msalia mtume usipotekeleza sheria- Profesa Kikula

Na: Rhoda James - SingidaMwenyekiti wa Tume ya madini, Profesa Idris Kikula amesema kutokujua sheria ya madini si kigezo wala sababu ya kukwepa adhabu ya ukiukwaji wa sheria hiyo na kuwataka wachimbaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI IMEZITAKA HALMASHAURI KUWA NA ONE STOP CENTRES KUPAMBANA NA VITENDO...

Na Mwandishi wetu PwaniSerikali imezitaka Halmashauri  zote Nchini kuhakikisha zinakuwa na vituo vya huduma za  mkono kwa mkono (Ones Stop Centre) ili kuunga mkono serikali katika juhudi zake za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI 25,532 WAPANGIWA MIKOPO KATIKA AWAMU YA KWANZA

Wanafunzi 25,532 wa mwaka wa kwanza wapangiwa mikopo ya TZS 88.36 bilioni.BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwafahamisha waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/2019...

View Article
Browsing all 110193 articles
Browse latest View live




Latest Images