TAKUKURU JIRIDHISHENI NA HUDUMA ZINAZOTOLEWA KWA WANANCHI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa TAKUKURU wajiridhishe huduma zinatolewa kwa wananchi bila ya rushwa, watakapobaini rushwa wachukue hatua.Pia, Waziri Mkuu amewataka watumishi wa umma...
View ArticleMTANGAZAJI NGULI WA REDIO TANZANIA (RTD) AHMED JONGO AZIKWA LEO MAKABURI YA...
Maziko ya Mtangazaji wa RTD Ahmed Jongo yamefanyika leo makaburi ya Mbagala Charambee Dar es Salaam Baadhi ya Ndugu,Jamaa na marafiki wakiwa wamejumuika nyumbani leo mchana kwenye mazishi ya...
View ArticleCASTLE LAGER YAMLETA SAMUEL ETO'O NCHINI
Na Leandra Gabriel, Blogu ya JamiiKAMPUNI ya bia ya Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Castle lager imemualika mmoja ya wachezaji bora barani Afrika Samuel Eto'o kuzindua mradi wa ujenzi wa uwanja wa...
View ArticleKESI YA KUTOA LUGHA CHAFU KWA RAIS INAYOMKABILI HALIMA MDEE YASHINDWA...
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Oktoba 8 mwaka 2018 imeshindwa kuendelea kusikiliza kesi ya kutoa lugha chafu ya matusi dhidi ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa...
View ArticleKISANGA AWATAKA WAKAZI WA OYSTERBAY KUWA WALINZI KWENYE MAENEO YAO
Na Khadija Seif,Globu ya jamii MWENYEKITI Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) katika Tawi la Oysterbay Dar es Salaam Donald Kisanga ameendesha uchaguzi wa chipukizi huku...
View ArticleTAMASHA LA WAJASILIAMALI KUFANYIKA OKTOBA 13 KINONDONI
Mwenyekiti wa jukwaa la kuwezesha mwanamke wilaya ya ubungo Hidaya Njaidi akizungumza jijini Dar es Salaam leo na MICHUZI BLOG wakati akihamasisha wanawake na wananchi kwa ujumla kwenda kwenye tamasha...
View ArticleBODI YA UTALII YAANDAA MAONESHO YA UTALII NCHINI YATAKAYOANZA OKTOBA 12
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.BODI ya Utalii Nchini (TTB) imeandaa maonesho ya kimataifa ya utalii yajulikanayo kama Swahili International Tourism Expo (SITE) ambayo hufanyika kila mwaka mwezi...
View ArticleWATANZANIA WATAKIWA KUENZI VITU VYA KIASILI KUVUTIA WATALII
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiWATANZANIA wameombwa kuenzi vitu vya asili ili kudumisha utamaduni na kuvutia watalii wengi kuja nchini.Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Japhet...
View ArticleTAASISI YA HDIECA YAFANYA MAONESHO YA WAJASILIAMALI WADOGO KUONESHA KAZI ZA...
Taasisi ya isiyo ya Kiserikali inayojishughulisha na maswala ya Mazingira pamoja na Utu (HDIECA) , iliandaa maonesho maalum ambayo yaliwakutanisha wajasiliamali mbalimbali ambao wanafanya shughuli zao...
View ArticleJIMBO LA KONDOA LAPIGA HATUA KUBWA KIMAENDELEO MIAKA MITATU YA JPM
Na Mwandishi wetu, KondoaNAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kondoa mkoani Dodoma, Dkt. Ashatu Kijaji, amesema huduma mbalimbali za kijamii ikiwemo elimu, maji, afya,...
View ArticleBalozi Dr. Abdallah Possi, awasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa...
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Dr. Abdallah Possi, aliwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Hungary Bw. János Áder hivi karibuni. Pamoja na Ujerumani, Ubalozi wa Tanzania uliopo Berlin pia...
View ArticleRais Magufuli akutana na Wageni mbalimbali Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza katika kikao cha kupokea Taarifa ya Maendeleo ya Ujenzi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma kutoka kwa wataalamu mbalimbali...
View ArticleWAZIRI MKUU ATOA SIKU MBILI KWA AFISA ELIMU MULEBA
* Ifikapo Jumatano awe amepeleka walimu shule ya msingi Rwenzige*Ina wanafunzi 216 wa darasa la awali hadi la nne bila mwalimu WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa siku mbili kwa Kaimu Afisa Elimu...
View ArticleTANZANIA KUSHIRIKI MAZOEZI YA KIKOSI CHA DHARURA CHA ULINZI WA AMANI CHA SADC...
Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) zimejipanga kuzuia na kudhibiti madhara yanayosababishwa na machafuko ya kisiasa katika jumuiya hiyo na Bara la Afrika kwa ujumla....
View ArticleAJALI YA KENTA YAUA MCHEZAJI WA TIMU YA IYUMBU FC NA KUJERUHI 38 WAKIENDA...
Na Jumbe Ismailly SINGIDA MCHEZAJI mmoja wa timu ya soka ya Kijiji cha Iyumbu,tarafa ya Sepuka,wilayani Ikungi,Mkoani Singida,Mussa Kikumbu (20) amepoteza maisha na wengine 38 wamejeruhiwa vibaya baada...
View ArticleMAMA MARIA NYERERE:MAGEUZI YANAYOFANYWA NA RAIS MAGUFULI NI YA KUUNGWA MKONO
Maneno haya yamesemwa na Mama Maria Nyerere, Mke wa Hayati Mwalimu Julius K. Nyerere mwasisi wa Taifa letu alipotembelewa na Viongozi wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) TAIFA jana Oktoba...
View Article
More Pages to Explore .....